iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya wanafunzi yamefanyika hivi karibuni nchini Uganda.
Habari ID: 3474015    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17

TEHRAN (IQNA)-Vijana ambao waliwakilisha Ghana katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyoandaliwa Morocco na Taasisi ya Mfalme Mohammad VI ya Maulamaa Waafrika wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473997    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/11

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Uganda wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473966    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

TEHRAN (IQNA)- Qarii Mtanzania ameibuka mshindi katika duru ya nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar.
Habari ID: 3473896    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Pakistan kimeandaa mashindano ya Qur'ani katika mji wa Peshawar kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473859    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29

TEHRAN (IQNA)- Mashindnao ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yamefanyika Jumapili Aprili 25 katika uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam na kuvutia maelfu ya wakazi wa mji huo.
Habari ID: 3473851    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/26

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya 24 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani ya Dubai wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473849    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 19 ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Aisha Sururu yamefanyika nchini Tanzania.
Habari ID: 3473841    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/22

TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tisa ya Mashindano ya Qur’ani kwa ajili ya walemavu imeanza Jumamosi mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473828    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18

TEHRAN (IQNA)- Washiriki 96 kutoka nchi mbali mbali wanashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma Qur’ani (qiraa) ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3473825    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18

TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kijiji ya Utamaduni (Katara) nchini Qatar imetangaza harakati kadhaa za mitandaoni katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kama vile mashindano ya Qur'ani na maonyesho.
Habari ID: 3473815    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15

TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar ya Iran wametangazwa.
Habari ID: 3473802    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA)- Zoezi la kuwasajili washiriki wa Awamu ya 14 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar linaendelea.
Habari ID: 3473764    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/27

TEHRAN (IQNA) – Finali ya mwisho ya mashindano kitaifa ya Qur’ani Jordan imepangwa kufanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473748    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19

TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya 37 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambayo yamefanyika kwa njia ya intaneti yalimalizika Jumatano huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473727    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11

TEHRAN (IQNA) – Usiku wa Jumanne ulikuwa wa nne katika fainali za mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3473723    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/10

TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ziliendelea Jumapili ambapo majaji wakiwa Tehran na maeneo mengine duniani waliwasikiliza washiriki wakisoma Qur'ani kwa njia ya intaneti. Mashindano hayo yamefanyika kwa njia ya intaneti kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3473718    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08

TEHRAN (IQNA)- Fainali ya kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ilianza Jumapili.
Habari ID: 3473715    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08

TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran imeanza Jumamosi Machi 6 katika sherehe iliyoudhuriwa na Mkuu wa Shirika la Iran la Wakfu na Misaada Hujjatul Islam wal Muslimin Mehdi Khamoushi.
Habari ID: 3473712    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07

TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran inaendelea ambapo kuna washiriki kutoka maeneo mbali mbali ya dunia.
Habari ID: 3473711    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07