iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Zawadi ya Al Qasimia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472567    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika mwezi Aprili sasa yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472556    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/12

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Ufilipino ambapo rais Rodrigo Duterte wa nchi hiyo amewatumia washiriki ujumbe maalumu.
Habari ID: 3472532    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya wanafunzi ya Waislamu yameakhirishwa.
Habari ID: 3472521    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/02

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuakhirishwa kutokana na hofu ya kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472513    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika katika mji mkuu wa Russia, Moscow katika tawi la Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW).
Habari ID: 3472409    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27

TEHRAN (IQNA) - Hatimaye wawakilishi wawili watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano makubwa ya Qur an tukufu ya Hifdh na Tajweed yatakayofanyika nchini Gabon, wamepatikana.
Habari ID: 3472393    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/21

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindani ya 29 ya Qur'ani ya Sultan Qaboos wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Masikiti wa Sultan Qaboos katika Wilaya ya Basusher nchini humo.
Habari ID: 3472310    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Duru ya 26 ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472253    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA) – Wanawake nchini Uzbekistan wameshiriki katika mashindano ya Qur'ani ambaye yamefanyika hivi karibuni katika mji mkuu, Tashkent.
Habari ID: 3472247    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/01

TEHRAN (IQNA) – Duruy a Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Maalumu kwa Wanawake ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatakuwa na washiriki kutoka nchi 120.
Habari ID: 3472164    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/10

TEHRAN (IQNA) – Mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kufanyika katika Mji Mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3472152    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/28

TEHRAN (IQNA)- Washindi katika mashindano ya kitaifa ya kihifadhi Qur'ani wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Jumatano katika Ukumbi wa Kituo cha Kiutamaduni na Kiislamu cha mji w Gitega.
Habari ID: 3472105    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/29

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Wasomaji na Waliohifadhi Qur'ani nchini Indonesia amesema hivi sasa kuna vituo 23,000 vya kufunza Qur'ani katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3472003    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa mashindano ya Qur'ani ambayo yaliandaliwa kwa pamoja na Radio Bilal na Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda wametangazwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kampala.
Habari ID: 3471994    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/10

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Uswisi kwa himaya ya Jumuiya ya Kimataifa la Al Raham ya nchini Kuwait.
Habari ID: 3471992    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/10

TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) kutoka Iraq ameibuka mshindi katika Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran.
Habari ID: 3471989    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/07

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki yamemalizika kwa kutunukwia zawadi washindi.
Habari ID: 3471975    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/28

TEHRAN (IQNA)- Rais John Magufuli wa Tanzania amehuhdhuria Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani yaliyofanyika Jumapili Mei 19.
Habari ID: 3471966    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai wametangazwa Jumapili usiku baada ya kuchuana kwa muda wa siku 12.
Habari ID: 3471965    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/20