iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani kwa ajili ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Uganda katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3473705    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/05

TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu imetangaza majina ya jopi la majaji katika mashindano hayo.
Habari ID: 3473698    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/03

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yanalenga, kati ya mambo mengine, kustawisha umoja na mshikamano wa Kiislamu duniani kote.
Habari ID: 3473694    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02

TEHRAN (IQNA) – Bango la Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu limezinduliwa wiki mbili kabla ya kuanza mashindano hayo.
Habari ID: 3473670    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/21

TEHRAN (IQNA)- Waliofika fainali katika Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran wametangazwa na kamati andalizi.
Habari ID: 3473593    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26

TEHRAN (IQNA) – Semi fainali ya kusoma Qur'ani Tukufu au qiraa katika Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran imemalizika leo Jumatano.
Habari ID: 3473576    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20

Nusu fainali ya Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Jumanne asubuhi mjini Tehran.
Habari ID: 3473573    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20

TEHRAN (IQNA) – Nusu fainali ya Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Jumanne asubuhi mjini Tehran.
Habari ID: 3473572    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19

TEHRAN (IQNA)- Nusu fainali ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran inaanza Jumanne Januari 19.
Habari ID: 3473568    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18

TEHRAN (IQNA) – Duru ya 14 ya Mashindano ya Qur’ani ya Dubai nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) inaendelea katika mji huo.
Habari ID: 3473377    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Idara ya Masuala ya Qur’ani katika Shirika la Wakfu la Iran amesema mashindano ya kitaifa ya Qur’ani nchini Iran mwaka huu yatafanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3473207    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27

TEHRAN (IQNA) – Mashauriano yanaendelea kuhusu uwezekano wa kufanyika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani ya Iran kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3473151    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09

TEHRAN (IQNA) – Watu 1,700 wamejisajili kushiriki katika Mashindano ya 30 ya Qur’ani Tukufu nchini Oman.
Habari ID: 3473046    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/08

TEHRAN (IQNA) – Qarii kutoka Tanzania ameibuka mshindi katika mashindano ya kusoma Qur’ani (qiraa) ya Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473023    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Duru ya kwanza ya mashindano ya 43 ya Qur'ani Tukufu ya Tehran, mji mkuu wa Iran, imekamilika Julai 14.
Habari ID: 3472968    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran haijaafiki pendekezo la mashindano hayo kufanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472886    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali AS mjini Stockholm, Sweden kimeandaa mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti .
Habari ID: 3472763    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13

TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo hufanyika kwa njia ya moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yameanza.
Habari ID: 3472714    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Indonesia yameakhirishwa kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472620    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Zawadi ya Al Qasimia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472567    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15