iqna

IQNA

Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani/2
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad Sadiq Ibrahim Arjun (1903- 1981) alikuwa mwanazuoni wa Al-Azhar ambaye kazi zake zilizoandikwa na kurekodiwa kuhusu tafsiri ya Quran ni vyanzo vyema vya utafiti katika nyanja Tafsiri ya Qur’ani Tukufu na sayansi za Kiislamu.
Habari ID: 3475930    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14