iqna

IQNA

Umoja wa Wapalestina
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekaribisha tangazo la maridhiano na umoja wa kitaifa baina ya makundi ya Palestina, ambalo lilitiwa saini hivi karibuni nchini Algeria.
Habari ID: 3475938    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16