iqna

IQNA

Sura za Qur'ani Tukufu /70
TEHRAN (IQNA) – Adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa madhalimu na wakanushaji Mungu iko karibu na iko karibu zaidi kuliko wanavyofikiri. Bila shaka adhabu hiyo itajiri na hakuna kitu kinachoweza kusimama katika njia yake.
Habari ID: 3476853    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Surah Al-Maarij, sura ya 70 ya Qur’ani Tukufu, inazungumzia sifa nzuri na mbaya za watu na pia inatanguliza maelekezo ya kufikia hadhi ya Malaika na kuwa na usuhuba au urafiki na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476049    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07