iqna

IQNA

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kiumbe ambaye hajazaliwa ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Kwa kurejelea hoja kadhaa za Qur'ani, haturuhusiwi kutoa mimba kwa vyovyote vile. Pamoja na hayo, utoaji mimba huwa kitendo kibaya baada ya mimba kupata roho.
Habari ID: 3476070    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11