sheikh tusi

IQNA

IQNA – Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa kisayansi wa kuadhimisha milenia (miaka 1000) ya *Hawza ya Najaf umetangaza mapendekezo yake, ukisisitiza haja ya kuangazia nafasi ya wanazuoni na shakhsia za hawza hiyo katika historia ya fikra za Kiislamu.
Habari ID: 3481934    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14

Tafsiri ya Qur’ani na Wafasiri /8
TEHRAN (IQNA) – Al-Tibbyan Fi Tafsir al-Qur’an iliyoandikwa na Sheikh Tusi ni tafsiri ya kwanza ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa na mwanazuoni wa madhehebu ya Shia ambayo inajumuisha Sura zote za Qur’ani.
Habari ID: 3476123    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21