iqna

IQNA

tende
Kususia utawala bandia wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya vipeperushi 20,000 vinavyowahimiza Waislamu kutizama lebo yaani #CheckTheLabel na kususia bidhaa za utawala haramu wa Israel vimesambazwa katika misikiti kote Uingereza, sanjari na Ijumaa ya mwisho kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, waandaaji walisema Ijumaa.
Habari ID: 3476724    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Kususia bidhaa za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kampeni mpya ya kususia utawala wa Kizayuni imezinduliwa ili kuwataka Waislamu barani Ulaya na maeneo mengine duniani kuangalia lebo za matunda hasa tende na kuepuka kununua tende za utawala haramu wa Israel katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476629    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26