shahidi - Ukurasa 3

IQNA

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha AlAzhar nchini Misri kimehimizwa kufikiria upya msimamo wake kuhusu mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, na pia kutafakari kwa makini kuhusu mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3482090   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/26

IQNA – Sayyid Ammar al‑Hakim, kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, amelaani vikali shambulio la Marekani dhidi ya makao makuu ya Vikosi vya Kujitolea vya Umma (PMU) katika jimbo la Anbar.
Habari ID: 3482088   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/25

IQNA – Iran ni nchi ambayo viongozi, maafisa wa serikali na makamanda wa kijeshi hawasimami kutoa heshima kwa majeneza ya wanajeshi wao; badala yake mara nyingi wao hutangulia kuuawa shahidi, kisha wananchi wa nchi yao ndio huwapa mazishi na kuwaaga kwa heshima.
Habari ID: 3482087   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/25

IQNA-Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
Habari ID: 3482085   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24

IQNA-Mufti Mkuu wa Libya ametoa taarifa kuhusu mashambulizi na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kwa mara nyingine amesisitiza kuwa: Ni wajibu kuwahami Waislamu pale vita vinapotokea baina ya Waislamu na makafiri.
Habari ID: 3482084   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo amekosoa vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, akivitaja kuwa ni fedheha kwa familia nzima ya kibinadamu na mtihani mkubwa wa maadili kwa ulimwengu mzima.
Habari ID: 3482082   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23

IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.
Habari ID: 3482080   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/22

Ujumbe wa Nowruz (Mwaka Mpya wa Hijria Shamsia)
IQNA-KKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwaambia wananchi wa Iran kwamba: Kwa kumpa adui pigo, mmemfahamisha kwamba hapambani tu na makombora, ndege zisizo na rubani, torpedo na zana za kijeshi pekee kwani mstari wa mbele wa Iran ni mpana sana kuliko taswira yake finyu na iliyodhalilika.
Habari ID: 3482077   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/21

IQNA-Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
Habari ID: 3482071   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/19

IQNA- Katika barua ya wazi iliyotumwa kwa wasomaji wa wahafidhi na wanaharakati wa Qur’ani Tukufu kutoka kote ulimwenguni, maqari na wataalamu wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameashiria mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran na kusema: “Leo, Qur’ani Tukufu inatuita kwenye wajibu na hatua.”
Habari ID: 3482070   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/18

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuuawa shahidi kwa katibu wake, Ali Larijani, kufuatia shambulio la maadui, ambao ni Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3482069   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/18

IQNA – Msemaji wa harakati ya muqawama ya Iraq, al‑Nujaba, ameeleza mapambano yanayoendelea katika eneo la Asia Magharii kuwa ni mvutano kati ya nguvu za ukafiri na mhimili wa heshima na utukufu.
Habari ID: 3482066   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA – Watoto wa Iran hawaogopi wavamizi, bali wanamdhihaki adui.
Habari ID: 3482065   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA-Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani, je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”
Habari ID: 3482064   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA-Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa kijeshi wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz.
Habari ID: 3482061   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/16

IQNA – Wakati mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiingia katika juma lake la tatu na idadi ya raia wanaopoteza maisha ikiongezeka pande zote mbili, sauti ya kwanza ya kupinga imejitokeza kutoka ndani ya utawala wa Trump wenyewe.
Habari ID: 3482059   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/15

IQNA-Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.
Habari ID: 3482054   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/13

IQNA-Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482053   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/13

IQNA-Ayatullah Sayyid Husseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametoa ujumbe wake wa kwanza tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo muhimu.
Habari ID: 3482051   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, katika ujumbe wake amempongeza Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei na kuapa utiifu kwake.
Habari ID: 3482049   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12