IQNA-Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
Habari ID: 3482097 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.
Habari ID: 3482096 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya jinai ya kivita unaofanywa na muungano huo wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
Habari ID: 3482095 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
Rais wa Iran katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Malaysia
IQNA-Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.
Habari ID: 3482094 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/27
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha AlAzhar nchini Misri kimehimizwa kufikiria upya msimamo wake kuhusu mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, na pia kutafakari kwa makini kuhusu mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3482090 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/26
IQNA – Sayyid Ammar al‑Hakim, kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, amelaani vikali shambulio la Marekani dhidi ya makao makuu ya Vikosi vya Kujitolea vya Umma (PMU) katika jimbo la Anbar.
Habari ID: 3482088 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/25
IQNA – Iran ni nchi ambayo viongozi, maafisa wa serikali na makamanda wa kijeshi hawasimami kutoa heshima kwa majeneza ya wanajeshi wao; badala yake mara nyingi wao hutangulia kuuawa shahidi , kisha wananchi wa nchi yao ndio huwapa mazishi na kuwaaga kwa heshima.
Habari ID: 3482087 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/25
IQNA-Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
Habari ID: 3482085 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24
IQNA-Mufti Mkuu wa Libya ametoa taarifa kuhusu mashambulizi na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kwa mara nyingine amesisitiza kuwa: Ni wajibu kuwahami Waislamu pale vita vinapotokea baina ya Waislamu na makafiri.
Habari ID: 3482084 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24
IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo amekosoa vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, akivitaja kuwa ni fedheha kwa familia nzima ya kibinadamu na mtihani mkubwa wa maadili kwa ulimwengu mzima.
Habari ID: 3482082 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23
IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.
Habari ID: 3482080 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/22
Ujumbe wa Nowruz (Mwaka Mpya wa Hijria Shamsia)
IQNA-KKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwaambia wananchi wa Iran kwamba: Kwa kumpa adui pigo, mmemfahamisha kwamba hapambani tu na makombora, ndege zisizo na rubani, torpedo na zana za kijeshi pekee kwani mstari wa mbele wa Iran ni mpana sana kuliko taswira yake finyu na iliyodhalilika.
Habari ID: 3482077 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/21
IQNA-Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
Habari ID: 3482071 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/19
IQNA- Katika barua ya wazi iliyotumwa kwa wasomaji wa wahafidhi na wanaharakati wa Qur’ani Tukufu kutoka kote ulimwenguni, maqari na wataalamu wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameashiria mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran na kusema: “Leo, Qur’ani Tukufu inatuita kwenye wajibu na hatua.”
Habari ID: 3482070 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/18
IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuuawa shahidi kwa katibu wake, Ali Larijani, kufuatia shambulio la maadui, ambao ni Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3482069 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/18
IQNA – Msemaji wa harakati ya muqawama ya Iraq, al‑Nujaba, ameeleza mapambano yanayoendelea katika eneo la Asia Magharii kuwa ni mvutano kati ya nguvu za ukafiri na mhimili wa heshima na utukufu.
Habari ID: 3482066 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17
IQNA – Watoto wa Iran hawaogopi wavamizi, bali wanamdhihaki adui.
Habari ID: 3482065 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17
IQNA-Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani, je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”
Habari ID: 3482064 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17
IQNA-Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa kijeshi wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz.
Habari ID: 3482061 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/16
IQNA – Wakati mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiingia katika juma lake la tatu na idadi ya raia wanaopoteza maisha ikiongezeka pande zote mbili, sauti ya kwanza ya kupinga imejitokeza kutoka ndani ya utawala wa Trump wenyewe.
Habari ID: 3482059 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/15