TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel kukamata wanachama wake katika eneo inalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472274 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/13
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
Habari ID: 3472257 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/05
TEHRAN (IQNA) - Ismail Hania Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemuandikia barua Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kushukuru yale aliyoyazungumza katika mkutano wake na ujumbe wa harakati hiyo uliofanya ziara hapa mjini Tehran hivi karibuni .
Habari ID: 3472110 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/02
Katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472094 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/21
Iran na Hamas zasisitiza:
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472004 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16
Kiongozi wa Hamas
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amehutubu katika Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran na kusema: "Utawala wa Kizayuni ni adui mkuu wa Umma wa Kiislamu."
Habari ID: 3471750 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/24
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Mapambano (muqawama) ya Palestina yamevuruga mahesabu ya adui na kubadilisha mlingano wa nguvu.
Habari ID: 3471742 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapiga jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarisha mrengo wa mapambano na muqawama katika Ulimwengu wa Kiislamu na kuzidisha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na waungaji mkono wake.
Habari ID: 3471454 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/05
TEHRAN (IQNA) Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amemuandikia barua Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akishukuru na kupongeza sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Quds Tukufu.
Habari ID: 3471361 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/19
TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa masuala ya kigeni wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, harakati hiyo ina hamu ya kustawisha uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga zote.
Habari ID: 3471229 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/24
Harakati za Kiislamu Palestina
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, na Harakati ya Palestina ya Jihad Islami zimelaani matamshi ya mwanamfalme wa Saudia katika kikao cha munafikina huko Paris.
Habari ID: 3470447 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/11
Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Hamas watekwe nyara.
Habari ID: 3470439 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/08
Machafuko yameibuka leo Jumapili katika Msikiti wa Al Aqsa, eneo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu, mjini Quds (Jerusalem) siku mbili tu baada ya mtoto mchanga Mpalestina kuchomwa moto na kuuawa na walowezi wa Kiyahudi.
Habari ID: 3338073 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02
Imam Khamenei
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumanne mjini Tehran ameonana na maulamaa, wanavyuoni, wasomi na wageni walioshiriki kwenye Kongamano la Kimataifa la Mirengo ya Kitakfiri kwa Mtazamo wa Maulamaa wa Kiislamu na kulitaja suala la kuzuka upya makundi ya kitakfiri katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni tatizo lililopandikizwa na mabeberu katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2612034 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/26
Utawala haramu wa Kizayuni, kwa mara ya kwanza leo Ijumaa alfajiri umefungua milango ya Msikiti wa al-Aqsa baada ya kuifunga mwaka 1967. Utawala huo pia umeshadidisha ulinzi katika maeneo ya jirani na msikiti huo, kutokana na hofu ya kuzuka mapambano makali kutoka kwa Wapalestina.
Habari ID: 1465817 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/31
Khalid Mashal Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina Hamas amesema kuwa, usitishaji wowote wa vita unapaswa kufungamana na uondoshwaji mzingiro wa kidhuluma uliowekwa dhidi ya wananchi wa Ghaza.
Habari ID: 1438342 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/11