iqna

IQNA

Jina za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kisilamu ya Palestina, kwa kifupi Hamas, imesema leo Jumanne kwamba, Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni anawadanganya wafuasi wake na serikali ya Marekani anapodai kupata ushindi katika vita vya Ghaza kwani hajafanikisha lengo hata moja zaidi ya kuua kwa umati na kikatili watu wasio na hatia.
Habari ID: 3479373    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Muqawama
IQNA- Maelfu ya watu wamekusanyika Ijumaa katika msikiti mmoja huko Doha kutoa heshima zao kwa kiongozi wa kisiasa wa Hamas, shahidi Ismail Haniya..
Habari ID: 3479218    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/03

Muqawama
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman amelaani mauaji ya utawala wa Israel dhidi ya Ismail Haniya, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Hamas.
Habari ID: 3479217    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) alikuwa mwanamapambano ambaye alijitolea maisha yake yote katika kuendesha mapambano dhidi ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3479212    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA- Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, katika kipindi cha miaka yote hii, wakuu wa Kambi ya Muqawama wamethibitisha kwamba, jinai zinazofanywa na maadui haziwatetereshi hata kidogo, bali zinaongeza tu ari na moyo wao wa Jihadi na Muqawama.
Habari ID: 3479211    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, katika kambi ya muqawama, wakuu na makamanda wa kambi hiyo hawajifichi bali wako katikati ya medani ya mapambano na wanakufa shahidi kwenye medani hiyo.
Habari ID: 3479210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Kadhia ya Palestina
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran itawafanya magaidi maghasibu kujutia kitendo chao cha uoga cha kumuua kiongozi wa Hamas Ismail Haniya.
Habari ID: 3479208    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/31

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu baada ya kuuawa shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Tawi la Kisiasa la HAMAS akisisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umejiandalia uwanja wa kuadhibiwa vikali.
Habari ID: 3479207    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/31

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yenye makao yake huko Gaza imesema imetia saini makubaliano mjini Beijing na makundi mengine ya Palestina, ikiwa ni pamoja na Fat'h, kufanya kazi pamoja kwa ajili ya "umoja wa kitaifa."
Habari ID: 3479173    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
Vikosi vya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas vimelipua vifaru vya jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza kwa kutumia mabomu yaliyotekwa kutoka wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479028    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

kadhia ya Palestina
Afisa wa Hamas alisema pendekezo lolote la kusitisha mapigano ambalo halijumuishi kumalizika kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza litakataliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
Habari ID: 3479007    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24

IQNA -Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepokea vizuri kupitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio ambalo limeunga mkono mpango unaolenga kuleta usitishaji mapigano katika vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478961    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11

Jinai za Israel
IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniyah amemfahamisha kuhusu jibu la Hamas kwa pendekezo la kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478785    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/07

Jinai za Israel
IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, Hamas, amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".
Habari ID: 3478669    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya mapambano ya Kiislamu ya wapigania ukombozi au Muqawama na Wapalestina wote katika Ukanda wa Gaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Gaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478598    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, Muqawama (mapambano ya Kiislamu) usio na kifani wa vikosi vya Muqawama na watu wa Ghaza umeutukuza Uislamu.
Habari ID: 3478588    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Jinai za Wazayuni
IQNA - Lawama zimeongezeka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuweka vizuizi katika milango mitatu ya kuelekea Msikiti wa Al-Aqsa katika eneo la Quds (Jerusalem) Mashariki linalokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478516    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Jinai za Israel
IQNA - Waziri wa utawala wa Kizayuni mwenye misimamo mikali ya chuki amesema mwezi mtukufu wa Ramadhani unapaswa 'kufutwa' ili kuepusha taharuki katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3478440    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/02

Jinai za Israel
IQNA - Kutakuwa na mlipuko na maafa makubwa hivi karibuni ikiwa utawala wa Kizayuni utaendelea na mpango wa kuwazuia Waislamu kuswali katika Msikiti wa Al-Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ilionya.
Habari ID: 3478412    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25