iqna

IQNA

Kadhia ya Palestina
IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa wito wa kufanyika " hamas a kubwa ya umma" kwa lengo la kuondoa mzingiro wa kinyama uliowekwa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3479949    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Marekani na washirika wake wanakoseka kikamilifu wanapodhani kwamba Muqawama umeishiwa nguvu na umefika ukingoni.
Habari ID: 3479913    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17

Muqawam
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa pongezi kwa mashahidi wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kusema kwamba wameleta heshima katika kambi ya muqawama.
Habari ID: 3479715    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07

Muqawama
IQNA - Mchambuzi wa kisiasa wa Lebanon ameuelezea shahidi Yahya Sinwar kama kamanda wa muqawama wa kupigiwa mfano ambaye alifanya juhudi bila kuchoka katika njia ya umoja wa Kiislamu wa Jihadi.
Habari ID: 3479621    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/20

Rambirambi
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia kuuawa shahidi kamanda shujaa wa Mujahidina, Yahya Sinwar, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, na kusisitiza kuwa: "Kama vile safu ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) haikuacha kusonga mbele kwa kuuawa shahidi shakhisia wake mashuhuri, vivyo hivyo haitakoma kwa kuuawa shahidi Sinwar."
Habari ID: 3479615    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Yahya Sinwar amemuandikia barua kiongozi wa harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah, akiahidi kwamba harakati hiyo ya muqawama au mapambano ya Kiislamu "itasalia imara" katika njia ya kuushinda utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479428    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13

Jina za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kisilamu ya Palestina, kwa kifupi Hamas, imesema leo Jumanne kwamba, Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni anawadanganya wafuasi wake na serikali ya Marekani anapodai kupata ushindi katika vita vya Ghaza kwani hajafanikisha lengo hata moja zaidi ya kuua kwa umati na kikatili watu wasio na hatia.
Habari ID: 3479373    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Muqawama
IQNA- Maelfu ya watu wamekusanyika Ijumaa katika msikiti mmoja huko Doha kutoa heshima zao kwa kiongozi wa kisiasa wa Hamas, shahidi Ismail Haniya..
Habari ID: 3479218    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/03

Muqawama
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman amelaani mauaji ya utawala wa Israel dhidi ya Ismail Haniya, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Hamas.
Habari ID: 3479217    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) alikuwa mwanamapambano ambaye alijitolea maisha yake yote katika kuendesha mapambano dhidi ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3479212    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA- Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, katika kipindi cha miaka yote hii, wakuu wa Kambi ya Muqawama wamethibitisha kwamba, jinai zinazofanywa na maadui haziwatetereshi hata kidogo, bali zinaongeza tu ari na moyo wao wa Jihadi na Muqawama.
Habari ID: 3479211    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, katika kambi ya muqawama, wakuu na makamanda wa kambi hiyo hawajifichi bali wako katikati ya medani ya mapambano na wanakufa shahidi kwenye medani hiyo.
Habari ID: 3479210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Kadhia ya Palestina
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran itawafanya magaidi maghasibu kujutia kitendo chao cha uoga cha kumuua kiongozi wa Hamas Ismail Haniya.
Habari ID: 3479208    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/31

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu baada ya kuuawa shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Tawi la Kisiasa la HAMAS akisisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umejiandalia uwanja wa kuadhibiwa vikali.
Habari ID: 3479207    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/31

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yenye makao yake huko Gaza imesema imetia saini makubaliano mjini Beijing na makundi mengine ya Palestina, ikiwa ni pamoja na Fat'h, kufanya kazi pamoja kwa ajili ya "umoja wa kitaifa."
Habari ID: 3479173    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Kadhia ya Palestina
Vikosi vya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas vimelipua vifaru vya jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza kwa kutumia mabomu yaliyotekwa kutoka wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479028    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

kadhia ya Palestina
Afisa wa Hamas alisema pendekezo lolote la kusitisha mapigano ambalo halijumuishi kumalizika kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza litakataliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
Habari ID: 3479007    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24

IQNA -Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepokea vizuri kupitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio ambalo limeunga mkono mpango unaolenga kuleta usitishaji mapigano katika vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478961    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11

Jinai za Israel
IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniyah amemfahamisha kuhusu jibu la Hamas kwa pendekezo la kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478785    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/07