hamas - Ukurasa 7

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya mahakama moja ya utawala bandia wa Israel kuwaruhusu walowezi wa Kizayuni kuingia katika uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya kufanya ibada zao.
Habari ID: 3474394    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya amesema rais Joe Biden wa Marekani na Naftali Bennet waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel hawaafiki utatutzi wowote wa kisiasa wa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3474365    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo mapambano na muqawama ni upanga na ngao ya wananchi wa Palestina na kwamba, taifa la Palestina limeazimia na kukusanya nguvu zake kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake.
Habari ID: 3474345    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine imelaani vikali mkataba wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya madola ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474315    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza kitendo cha kishujaa cha Wapalestina sita ambapo walitoroka jela lenye ulinzi mkali la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474270    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.
Habari ID: 3474266    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ,kwa kifupi Hamas, katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
Habari ID: 3474263    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

Kiongozi wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Wapalestina na harakati zao za muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474259    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema ufalme wa Bahrain kweli umeonyesha kuhusika kwake katika jinai zinazofanywa na utawala wa haramu wa Israeli dhidi ya Wapalestina kwa kumteua balozi wake wa kwanza kuhudumu katika utawala wa Israel.
Habari ID: 3474250    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza udharura wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kutumia suhula na nyenzo zote.
Habari ID: 3474228    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali kikao cha wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Harakati ya Ukombozi ya Palestina (PLO), mawaziri na maafisa wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na viongozi wa utawala haramu wa Israel chenye lengo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474168    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07

TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na walowezi wa Kizayuni walikiuka haki za Wapalestina katika zaidi ya mara 3,800 mwezi Julai katika katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mjini al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474162    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wote Wapalestina inaowashikilia na kufunga faili lao.
Habari ID: 3474161    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali uamuzi wa Umoja wa Afrika kuupa utawala haramu wa Israel hadi ya ‘mwangalizi’ katika taasisi hiyo ya nchi za Afrika.’
Habari ID: 3474122    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka wakazi wa Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan kudumisha mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuhakikisha kwamba ardhi ya Palestina inakuwa kaa la moto kwa maghasibu hao.
Habari ID: 3474092    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/11

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati zingine ukombozi wa Palestina zinatafakari kuhusu kutumia nguvu kuulazimu utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe mzingiro wake dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3474080    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08

Taarifa ya Hamas
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, mashambulizi ya Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza pia hayawezi kuzima harakati za kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474069    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/04

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina wamekutana na kusisitiza kuhusu ulazima wa kuimarisha na kudumisha umoja baina ya Wapalestina.
Habari ID: 3474057    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wakuu wa mrengo wa muqawama wa Palestina na Lebanon wamejadili kipigo cha hivi karibuni cha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, sanjari na kubadilishana mawazo juu ya njia zinazopaswa kufuatwa ili kupata 'ushindi mutlaki' dhidi ya utawala huo haramu.
Habari ID: 3474056    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza ametoa tamko baada ya kubainika kuwa Wazayuni wanapanga kutekeleza hujuma nyingine dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds au Jerusalem.
Habari ID: 3473983    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06