Katika safari ya rais wa Israel nchini UAE
TEHRAN (IQNA)- Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel jana alifika Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo alifanya mazungumzo mtawala wa Abu Dhabi Mohammad bin Zayed.
Habari ID: 3474872 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na Ismail Haniyeh kiongozi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
Habari ID: 3474798 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12
TEHRAN (IQNA)- Waliotenda jina katika Vita vya Furqan (vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza mwaka 2008-2009) hawataruhusiwa kukwepa mkono wa sheria, imesisitiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
Habari ID: 3474731 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3474686 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
Habari ID: 3474664 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuanza sherehe za maadhimisho ya mwaka wa 34 tangu kuasisiwa kwake.
Habari ID: 3474647 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/06
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono uamuzi wa serikali ya Kuwait wa kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.
Habari ID: 3474643 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Malaysia kwa msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni.
Habari ID: 3474629 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02
TEHRAN (IQNA)- Katika kuendeleza siasa zake dhidi ya taifa la Palestina na kuunga mkono utawala haramu wa Israel, Uingereza imetuhumu na kuitangaza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Paletina Hamas kuwa ni kundi la kigaidi.
Habari ID: 3474590 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuitaja kama nguzo kuu na muhimu ya mrengo wa muqawama wa Wapalestina.
Habari ID: 3474587 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/21
TEHRAN (IQNA)- Sekretarieti ya Kudumu ya Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina Katika Bunge la Iran imelaani vikali hatua ya serikali ya Uingereza ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3474583 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ya kulaani uamuzi uliojaa chuki wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza wa kuiweka harakati hiyo katika orodha ya 'makundi ya kigaidi.'
Habari ID: 3474577 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Algeria kwa kupinga uanzishwaji uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474549 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13
TEHRAN (IQNA)- Abdulatif al-Qanua, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuwa, hali mbaya ya mazingira yasiyo ya kibinadamu wanayoishi mateka Wapalestina, ambao wanashikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni, yatakuwa cheche itakayowasha moto wa mapigano ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474538 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10
TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Wapalestina za Hamas na Jihad Islami zimetoa tahadhari kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwatesa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala huo dhalimu.
Habari ID: 3474509 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474451 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21
TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema muqawama au mapambano ndio njia bora zaidi ya kukomboa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474447 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20
TEHRAN (IQNA) Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
Habari ID: 3474439 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nyumba ya Sheikh Ikrima Sabri na kusisitiza kuhusu mshikamano wa Wapalestina katika kutetea Mji wa Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3474409 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/11
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya mahakama moja ya utawala bandia wa Israel kuwaruhusu walowezi wa Kizayuni kuingia katika uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya kufanya ibada zao.
Habari ID: 3474394 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07