iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono uamuzi wa serikali ya Kuwait wa kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.
Habari ID: 3474643    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Malaysia kwa msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni.
Habari ID: 3474629    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02

TEHRAN (IQNA)- Katika kuendeleza siasa zake dhidi ya taifa la Palestina na kuunga mkono utawala haramu wa Israel, Uingereza imetuhumu na kuitangaza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Paletina Hamas kuwa ni kundi la kigaidi.
Habari ID: 3474590    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuitaja kama nguzo kuu na muhimu ya mrengo wa muqawama wa Wapalestina.
Habari ID: 3474587    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/21

TEHRAN (IQNA)- Sekretarieti ya Kudumu ya Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina Katika Bunge la Iran imelaani vikali hatua ya serikali ya Uingereza ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3474583    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ya kulaani uamuzi uliojaa chuki wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza wa kuiweka harakati hiyo katika orodha ya 'makundi ya kigaidi.'
Habari ID: 3474577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Algeria kwa kupinga uanzishwaji uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474549    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Abdulatif al-Qanua, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuwa, hali mbaya ya mazingira yasiyo ya kibinadamu wanayoishi mateka Wapalestina, ambao wanashikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni, yatakuwa cheche itakayowasha moto wa mapigano ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474538    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Wapalestina za Hamas na Jihad Islami zimetoa tahadhari kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwatesa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala huo dhalimu.
Habari ID: 3474509    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474451    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema muqawama au mapambano ndio njia bora zaidi ya kukomboa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474447    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA) Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
Habari ID: 3474439    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nyumba ya Sheikh Ikrima Sabri na kusisitiza kuhusu mshikamano wa Wapalestina katika kutetea Mji wa Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3474409    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/11

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya mahakama moja ya utawala bandia wa Israel kuwaruhusu walowezi wa Kizayuni kuingia katika uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya kufanya ibada zao.
Habari ID: 3474394    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya amesema rais Joe Biden wa Marekani na Naftali Bennet waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel hawaafiki utatutzi wowote wa kisiasa wa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3474365    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo mapambano na muqawama ni upanga na ngao ya wananchi wa Palestina na kwamba, taifa la Palestina limeazimia na kukusanya nguvu zake kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake.
Habari ID: 3474345    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine imelaani vikali mkataba wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya madola ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474315    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza kitendo cha kishujaa cha Wapalestina sita ambapo walitoroka jela lenye ulinzi mkali la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474270    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.
Habari ID: 3474266    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ,kwa kifupi Hamas, katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
Habari ID: 3474263    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06