Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Binti mmoja wa Palestina ametekeleza operesheni ya kishujaa ya kujitoa kufa shahidi ili kujibu jinai za mtawalia za wanajeshi makatili wa Israel na walowezi wa utawala huo pandikizi.
                Habari ID: 3476959               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/05/05
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Ismail Hania na Khalid Mash'al, Mkuu wa sasa na wa zamani wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Jumapili ya tarehe 16 Aprili waliwasili Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia wakiuongoza ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS.
                Habari ID: 3476889               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/19
            
                        Ukombozi wa Palestina
        
        TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kutaka kuweko harakati ya kimataifa ili kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na kuhitimisha uvamizi na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.
                Habari ID: 3476867               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, damu mashahidi wa Palestina italinda utambulisho wa Kipalestina, Kiarabu na Kiislamu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio katika mji wa Quds au Jerusalem.
                Habari ID: 3476796               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/01
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilionyesha upinzani dhidi ya ushiriki wa makundi ya Wapalestina katika mkutano uliopangwa kufanyika huko Sharm El-Sheikh wa Misri unaodaiwa kuwa na lengo la kupunguza hali ya wasiwasi katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
                Habari ID: 3476731               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/19
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kuhujumu na kuuvamia Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
                Habari ID: 3476714               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/16
            
                        Ulimwengu wa Kiislamu
        
        TEHRAN (IQNA)- Makundi mbalimbali ya kieneo yamekaribisha makubaliano ya kurejesha tena uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia.
                Habari ID: 3476692               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/11
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa idara ya uhusiano wa kimataifa katika Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) anasema kushindwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa katika kushughulikia jinai  iliyotendwa hivi karibuni na utawala haramu wa Israel katika eneo la Huwara ni jambo ambalo litaupa kiburi utawala huo kuendeleza jinai zake.
                Habari ID: 3476650               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/03
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, jinai za utawala ghasibu wa Israel zitajibiwa na wanamapambano shupavu wa Kipalestina na katu hazibakia hivi hivi bila ya majibu.
                Habari ID: 3476625               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/02/25
            
                        Kadhia ya Palestina
        
        TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mapatano yaliyofikiwa karibuni baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Israel kwa mashinikizo ya Marekani ni usaliti kwa kambi ya muqawama ya Wapalestina.
                Habari ID: 3476599               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/02/21
            
                        Mapambano ya Wapalestina
        
        TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amewatolea mwito Wapalestina wa kudumisha umoja na mshikamano baina yao ili kukabiliana na serikali mpya ya utawala haramu wa Israel inayoongozwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.
                Habari ID: 3476310               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/26
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa Wapalestina kuzidisha uwepo wao katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa mjini Al Quds (Jerusalem) ili kulinda eneo takatifu dhidi ya uvamizi wa Israel na njama za kubadilisha hadhi yake.
                Habari ID: 3476260               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/17
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mappambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilikaribisha kupitishwa kwa azimio la Umoja wa Mataifa linalotambua mamlaka ya Palestina juu ya maliasili katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3476256               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/16
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema ardhi ya Palestina si mahala pa utawala vamizi na ghasibu wa Israel.
                Habari ID: 3476254               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/15
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Wapalestina katu hawatouruhusu utawala haramu wa Israel utekeleza njama na mipango yake michafu dhidi ya mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) na Msikiti Mtakatifu wa Al Aqsa ulio mjini humo.
                Habari ID: 3476241               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/13
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina Hamas ametoa wito kwa wananchi wa Palestina kuzidisha mapambano yao dhidi ya Wazayuni wavamizi wanaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu hasa mji  Al-Quds (Jerusalem)  ili kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini humo.
                Habari ID: 3476110               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/18
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
                Habari ID: 3475846               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/27
            
                        Kadhia ya Quds
        
        TEHRAN(IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameashiria mpango wa Uingereza wa kuuhamisha ubalozi ulioko Tel Aviv  hadi Quds Tukufu(Jerusalem) na kueleza kuwa: hatua hiyo haibadili kivyovyote uhakika wa kihistoria.
                Habari ID: 3475835               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/24
            
                        Mapambano ya Wapalestina
        
        TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya  Palestina ( Hamas ) umefanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Kiislamu na Kikristo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
                Habari ID: 3475786               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/15
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3475782               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/14