ureno

IQNA

n
IQNA-Bunge la Ureno limeidhinisha muswada unaopendekeza marufuku ya uvaaji wa Hijabu aina ya Niqabu au Burqa kwa sababu za kijinsia au za kidini katika maeneo mengi ya umma. Muswada huo uliwasilishwa na chama cha mrengo wa kulia kinachoitwa Chega, na unalenga hasa burqa na niqab zinazovaliwa na wanawake Waislamu.
Habari ID: 3481385    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/19

Uhalifu
TEHRAN (IQNA) - Watu wawili wameuawa katika shambulio la kudunga visu kwenye Kituo cha Waislamu cha Ismaili katika jiji kuu wa Ureno, Lisbon.
Habari ID: 3476781    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29