TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok amemfahamisa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwamba Khartoum haiwezi kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473103 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amebainisha kuwa, mipango ya uchumi kwa ajili ya nchi haipaswi kusimama na kusubiria kuondolewa vikwazo au matokeo ya uchaguzi wa nchi fulani na kusisitiza kwamba, uchumi wa nchi kwa namna yoyote ile haupaswi kufungamanishwa na matukio ya nje kwani hilo ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3473096 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada mpya za Marekani za kutumia azimio 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kutoa pigo kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA tayari zimeshafeli.
Habari ID: 3473084 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, matukio yanayojiri leo hii huko Afghanistan ni matokeo ya uingiliaji na uwashaji moto wa vita uliofanywa na Marekani ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473081 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/18
TEHRAN (IQNA)- Marekani imefedheheka duniani baada ya kushindwa katika jitihada zake za kulishawishi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa urefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473069 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15
TEHRAN (IQNA) –Rais Bashar al Assasd wa Syria amesema Marekani inahitaji uwepo wa magaidi, hasa wa ISIS, katika eneo la Asia Magharibi na imetumia vikwazo vya hivi karibuni dhidi ya Syria ili kuwaunga mkono magaidi.
Habari ID: 3473067 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani hatua ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaja hatua hiyo kuwa ni ujinga wa kistratijia ambao bila shaka utapelekea kuimarika mhimili wa muqawama na mapambano katika eneo.
Habari ID: 3473066 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
TEHRAN (IQNA) - Wapalestina wanaendelea kulaani vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473065 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa ufaransa akisema kuwa Marekani daima imekuwa ikifanya jitihada za kuua mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa: Ulaya haipasi kukubali kuburutwa na Marekani na kutumbukia katika mtego wake.
Habari ID: 3473063 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13
TEHRAN (IQNA) – Polisi katika jimbo la Minnesota Marekani wanawasaka vijana wawili ambao walimpiga na kumuumiza kiongozi wa Waislamu katika eneo hilo.
Vijana hao wawili wanakisiwa kuwa na umri wa miaka 20 hivi na mmoja ni mzungu huku mwingine akiwa na asili ya Afrika.
Habari ID: 3473050 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tiba ya vikwazo ni kuutumia ipasavyo uwezo na fursa za ndani, na si kusalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani.
Habari ID: 3473020 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Katika matukio ya sasa ya Marekani na harakati ya kupinga ubaguzi wa rangi iliyopo, msimamo wetu thabiti ni wa kuwaunga mkono wananchi na kulaani mwenendo wa kikatili wa utawala wa ubaguzi wa rangi wa nchi hiyo."
Habari ID: 3473011 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29
TEHRAN (IQNA) – Jeshi la Marekani linaendelea kulaaniwa vikali kwa kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran iliyokuwa inaruka katika anga ya Syria ikielekea Lebanon.
Habari ID: 3472997 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
Sheikh Mohammad Yazbek
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo inaweza kupambana na kuvunja njama zote za maadui kama tulivyovunja njama zao kijeshi huko nyuma kwa kujiamini na kuwa macho.
Habari ID: 3472956 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA) -Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kusema urongo na kueneza chuki ni viungo muhimu katika sera za kigeni za Marekani.
Habari ID: 3472946 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi Marekani walisikika wakitamka Takbir yaani Allahu Akbar.
Habari ID: 3472943 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09
Msomi wa Iran
TEHRAN (IQNA) – Msomi wa Iran Dkt. Hakimeh Saghaye-Biria, amesema taasisi za utafiti nchini Marekanizinatumiwa kupanga sera za serikali ya nchi hiyo kuhusu ulimwengu wa Kiislamuna hasa dhidi ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3472940 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
Zarif akihutubu katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, wizara yake inatekeleza mkakati wa kusambaratisha njama za kiuchumi za Markeani dhidi ya Iran.
Habari ID: 3472930 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) katika mauaji ya watu wa Iran.
Habari ID: 3472909 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29