iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Tawi la chama cha pili kwa ukubwa cha wafanyikazi wakubwa nchini Marekani, Shirikisho la Walimu la Marekani (AFT), limelaani utawala ghasibu wa kijeshi wa Israeli na sera zake "ubaguzi wa rangi."
Habari ID: 3474301    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16

TEHRAN (IQNA)- Viongozi na wananchi wa Lebanon wameishukuru kwa dhati Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwatumia mafuta ambayo yamevunja vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.
Habari ID: 3474300    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16

TEHRAN (IQNA)- Miaka 20 iliyopita katika siku kama ya leo ya tarehe 11 Septemba mwaka 2001, ndege mbili kati ya nne za abiria za Marekani zilizotekwa nyara ziligonga minara miwili pacha ya jengo la Biashara la Kimataifa la mjini New York huku ndege moja ikigonga jengo la Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) huko Washington.
Habari ID: 3474282    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
Habari ID: 3474235    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya Umoja wa Mataifa yametaka kuanzishwa mara moja kwa daraja maalum la safari za ndege la kuwezesha ndege zilizobeba misaada ya kibinadamu kuingia nchini Afghanistan kwa ajili ya utoaji wa msaada endelevu na bila vizuizi.
Habari ID: 3474219    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, kambi ya muqawama inajivunia na uadu na ubeberu wa Marekani, uadui wa utawala haramu wa Israel na mipango ya utawala huo ghasibu dhidi ya harakati hii.
Habari ID: 3474218    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Lebanon Hezbullah anasema kushindwa kwa Marekani nchini Afghanistan kunaonyesha ujinga wa wa wakuu wa Washington na kukosekana mahesabu katika sera zao kigeni.
Habari ID: 3474201    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA) "American Muslims (Waislamu wa Marekani) ni filamu inayoshughulikia maswala ya sasa kama vile ubaguzi wa rangi, na ubaguzi katika enzi ya media ya kijamii.
Habari ID: 3474200    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17

TEHRAN (IQNA)- Mirengo miwili ya Al Fat-h na An-Nasr pamoja na harakati ya Hekima ya Kitaifa na ile ya Sadr nchini Iraq zimekaribisha juhudi za timu ya mazungumzo ya nchi hiyo zilizowezesha kufikiwa makubaliano na Marekani ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq.
Habari ID: 3474131    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)- Iran na Marekani hatimaye zitafikia mapatano ya nyuklia, amesema mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha George Washington.
Habari ID: 3474099    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani vikali hatua ya Marekani kuteka tovuti za vyombo vya habari vinavyounga mkono harakati za muqwama au mapambano ya Kiislamu na Iran katika eneo.
Habari ID: 3474074    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/06

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanafanyika katika Chuo Kikuu cha Michigano nchini Marekani kwa lengo la kuonyesha maisha ya Waislamu katika maeneo ya Detroit na kusini-mashariki mwa Michigan.
Habari ID: 3474073    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kuitungua ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kumuenzi kamanda aliyetenda jinai hiyo.
Habari ID: 3474066    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03

TEHRAN (IQNA)- Mazishi ya wanachama wanne wa Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) ambao wameuawa na Marekani yamefanyika leo Baghdad, Iraq.
Habari ID: 3474054    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu amehutubu amsema hatua ya Marekani kufunga tovuti kadhaa za televisheni wanachama wa jumuiya hiyo ni ukiukaji wa wazi wa uhuru wa maoni.
Habari ID: 3474053    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani kuteka na kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na kieneo na kusema kitendo hicho ni jinai inayothibitisha sera za ukandamizaji zinazfuatwa na Washington.
Habari ID: 3474040    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/25

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limetoa taarifa na kulaani hatua ya tovuti zake kadhaa na za mrengo wa muqawama kufungwa na serikali ya Marekani na kusema kitendo hicho ni ukiukwaji wa wazi wa uhuru wa maoni na ni hujuma dhidi ya vyombo huru vya habari.
Habari ID: 3474036    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Bahrain amejiunga na maulamaa nchini humo katika kulaani kitendo cha kupeperushwa bendera ya mahusiano ya jinsia moja katika ubalozi wa mji mkuu wa nchi hiyo, Manama.
Habari ID: 3473985    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya misikiti Marekani inaendelea kuongezeka ambapo mwaka 2020 kulikuwa na jumla ya misikiti 2,769 nchini humo.
Habari ID: 3473981    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/05