TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani kuteka na kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na kieneo na kusema kitendo hicho ni jinai inayothibitisha sera za ukandamizaji zinazfuatwa na Washington.
                Habari ID: 3474040               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/06/25
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limetoa taarifa na kulaani hatua ya tovuti zake kadhaa na za mrengo wa muqawama kufungwa na serikali ya Marekani na kusema kitendo hicho ni ukiukwaji wa wazi wa uhuru wa maoni na ni hujuma dhidi ya vyombo huru vya habari.
                Habari ID: 3474036               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/06/23
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Bahrain amejiunga na maulamaa nchini humo katika kulaani kitendo cha kupeperushwa bendera ya mahusiano ya jinsia moja katika ubalozi wa mji mkuu wa nchi hiyo, Manama.
                Habari ID: 3473985               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/06/07
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Idadi ya misikiti Marekani inaendelea kuongezeka ambapo mwaka 2020 kulikuwa na jumla ya misikiti 2,769 nchini humo.
                Habari ID: 3473981               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/06/05
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Muungano wa Fath nchini Iraq amesema Jeshi la Kujitolea la Wananchi Iraq, maarufu kama Hashd al Shaabi (PMU), kwa damu yake toharifu limeweza kuipa nguvu serikali ya Iraq na hivyo kila ambaye anataka kusamabratisha nguvu na uwezo wa jeshi hilo kimsingi atakuwa amedhoofisha nguvu za taifa la Iraq.
                Habari ID: 3473955               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/05/28
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Jumuiya na asasi za Kiislamu nchini Marekani zimesusa kuhudhuria dhifa ya kila mwaka ya Idul-Fitri inayoandaliwa na Ikulu ya White House kulalamikia uungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo kwa jinai za kinyama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wakiwemo wa Ukanda wa Ghaza.
                Habari ID: 3473920               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/05/17
            
                        Wataalamu wa kimataifa katika mahojiano na IQNA
        
        TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa masuala ya Afghanistan wanasema Marekani na waitifaki wake hawataki kuondoka Afghanistan na wanataka kuibua hofu na wahka ili watu wa nchi hiyo wadhani kuwa bila kuwepo wanajeshi hao ajniabi mauaji yatazidi.
                Habari ID: 3473897               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/05/11
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Nchini Marekani kumeshuhudiwa  ongezeko la asilimia 9 ya idadi ya malalamiko ya unyanyasaji dhidi ya Waislamu ambayo yalipokewa mwaka uliopita wa 2020 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.
                Habari ID: 3473855               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/04/27
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Rais Joe Biden wa Marekani amemteua Mpakistani-M marekani , Zahid Qureishi kuwa jaji wa mahakama katika ngazi ya fiderali nchini humo.
                Habari ID: 3473789               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/04/06
            
                        Spika ya Bunge la Iran
        
        TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kutiwa saini mapatano ya ushirkiano wa Iran na China ni onyo muhimu kwa Marekani na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa yanachukua mkondo wa kasi ambao ni kwa hasara ya Marekani.
                Habari ID: 3473781               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/04/04
            
                        
        
        Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikwazo ni dhulma kubwa dhidi ya taifa la Iran na vinapaswa kuondolewa ameeleza kwamba.
                Habari ID: 3473774               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/03/31
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kufidia makosa yaliyofanywa na serikali iliyopita ya Marekani si kwa manufaa ya Iran tu bali ni kwa maslahi ya Marekani yenyewe , eneo na taasisi za kimataifa.
                Habari ID: 3473741               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/03/16
            
                        Rais Rouhani wa Iran
        
        TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Wazayuni na watawala wasiotaka mageuzi katika eneo wanataka vikwazo vya kidhalimu dhidi ya watu wa Iran viendelee.
                Habari ID: 3473724               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/03/10
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi ila kulipigia magoti taifa la Iran baada ya kukiri kufeli sera zake za vikwazo.
                Habari ID: 3473693               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/03/01
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
                Habari ID: 3473684               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/02/26
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Utamaduni cha New York kinajumuisha pia msikiti na kipo katika mtaa wa Harlem, Manhattan mjini New York nchini Marekani.
                Habari ID: 3473656               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/02/16
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hekima ya Kitaifa ya Iraq haitauruhusu urudi tena nchini humo.
                Habari ID: 3473648               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/02/14
            
                        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
        
        TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran itarejea katika ahadi zake za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pale Marekani itakapoliondolea taifa hili vikwazo vyake vyote tena kivitendo na sio kwa maneno matupu au katika makaratasi tu.
                Habari ID: 3473629               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/02/07
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Familia mbili za Wayemen zimewasilisha mashtaka dhidi ya Marekani baada ya jamaa zao 34, wakiwemo watoto 17 kuuawa katika hujuma za ndege za kivita za Marekani.
                Habari ID: 3473601               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/01/29
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.
                Habari ID: 3473586               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/01/24