TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Muungano wa Fath nchini Iraq amesema Jeshi la Kujitolea la Wananchi Iraq, maarufu kama Hashd al Shaabi (PMU), kwa damu yake toharifu limeweza kuipa nguvu serikali ya Iraq na hivyo kila ambaye anataka kusamabratisha nguvu na uwezo wa jeshi hilo kimsingi atakuwa amedhoofisha nguvu za taifa la Iraq.
Habari ID: 3473955 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/28
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya na asasi za Kiislamu nchini Marekani zimesusa kuhudhuria dhifa ya kila mwaka ya Idul-Fitri inayoandaliwa na Ikulu ya White House kulalamikia uungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo kwa jinai za kinyama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wakiwemo wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473920 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17
Wataalamu wa kimataifa katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa masuala ya Afghanistan wanasema Marekani na waitifaki wake hawataki kuondoka Afghanistan na wanataka kuibua hofu na wahka ili watu wa nchi hiyo wadhani kuwa bila kuwepo wanajeshi hao ajniabi mauaji yatazidi.
Habari ID: 3473897 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11
TEHRAN (IQNA)- Nchini Marekani kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 9 ya idadi ya malalamiko ya unyanyasaji dhidi ya Waislamu ambayo yalipokewa mwaka uliopita wa 2020 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.
Habari ID: 3473855 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27
TEHRAN (IQNA)- Rais Joe Biden wa Marekani amemteua Mpakistani-M marekani , Zahid Qureishi kuwa jaji wa mahakama katika ngazi ya fiderali nchini humo.
Habari ID: 3473789 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06
Spika ya Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kutiwa saini mapatano ya ushirkiano wa Iran na China ni onyo muhimu kwa Marekani na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa yanachukua mkondo wa kasi ambao ni kwa hasara ya Marekani.
Habari ID: 3473781 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikwazo ni dhulma kubwa dhidi ya taifa la Iran na vinapaswa kuondolewa ameeleza kwamba.
Habari ID: 3473774 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kufidia makosa yaliyofanywa na serikali iliyopita ya Marekani si kwa manufaa ya Iran tu bali ni kwa maslahi ya Marekani yenyewe , eneo na taasisi za kimataifa.
Habari ID: 3473741 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/16
Rais Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Wazayuni na watawala wasiotaka mageuzi katika eneo wanataka vikwazo vya kidhalimu dhidi ya watu wa Iran viendelee.
Habari ID: 3473724 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/10
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi ila kulipigia magoti taifa la Iran baada ya kukiri kufeli sera zake za vikwazo.
Habari ID: 3473693 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/01
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
Habari ID: 3473684 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Utamaduni cha New York kinajumuisha pia msikiti na kipo katika mtaa wa Harlem, Manhattan mjini New York nchini Marekani.
Habari ID: 3473656 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hekima ya Kitaifa ya Iraq haitauruhusu urudi tena nchini humo.
Habari ID: 3473648 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran itarejea katika ahadi zake za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pale Marekani itakapoliondolea taifa hili vikwazo vyake vyote tena kivitendo na sio kwa maneno matupu au katika makaratasi tu.
Habari ID: 3473629 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/07
TEHRAN (IQNA)- Familia mbili za Wayemen zimewasilisha mashtaka dhidi ya Marekani baada ya jamaa zao 34, wakiwemo watoto 17 kuuawa katika hujuma za ndege za kivita za Marekani.
Habari ID: 3473601 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/29
TEHRAN (IQNA)- Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.
Habari ID: 3473586 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/24
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) imepongeza hatua ya rais mpya wa nchi hiyo, Joe Biden, kuondoa marufuku ya kusafiri na kuhajiri kuelekea Marekani raia wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3473580 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22
TEHRAN (IQNA)- Ghasia zimeibuka maeneo kadhaa Marekani baada ya Joe Biden kuapishwa kama rais wa 46 wa Marekani siku ya Jumatano.
Habari ID: 3473577 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashdu-Sha'abi au PMU amesisitiza ulazima wa kutekelezwa agizo la bunge la nchi hiyo la kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.
Habari ID: 3473569 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18
TEHRAN (IQNA)- Hofu imetanda kote Marekani wakati huu wa kukaribia kuapishwa Joe Biden kama rais wa nchi hiyo huku wanajeshi zaidi ya 30,000 wakiingia katika mji mkuu Washington DC kulinda usalama.
Habari ID: 3473565 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/17