iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Issa Shahini ni Muislamu aliyehudumu kwa muda mrefu katika Idara ya Polisi ya Dearbon, jimboni Michigan Marekani na sasa ameteuliwa kuwa mkuu wa polisi katika mji huo.
Habari ID: 3474702    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21

TEHRAN (IQNA)-e Baraza la Wawakilishi la katika Bunge la Congress nchini Marekani limepasisha muswada wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia licha ya kupingwa na wabunge wote wa chama cha Republican cha Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani mwenye chuki na uadui mkubwa na Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3474680    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA) – Mbunge Muslamu katika Bunge la Congress nchini Marekani, Bi. Ilhan Omar wa chama cha Democrat amehujumiwa kwa maneno makali na mbunge mwenzake mwenye misimamo mikali wa chama cha Republican ambaye amemtaja kuwa ‘mwenye kiu cha damu’ na mtetezi wa ugaidi.
Habari ID: 3474624    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01

Mmarekani mfeministi aliyesilimu
TEHRAN (IQNA)- Theresa Corbin aliwahi kuwa mfeministi sugu nchini Marekani lakini baada ya kupata nuru ya uwongofu, aliondoka katika Ukristo na kusilimu na sasa anazungumzo kuhusu yaliyomvutia katika Uislamu.
Habari ID: 3474559    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/15

TEHRAN (IQNA)- Majeshi ya majini ya utawala haramu wa Israel, Bahrain, Marekani na Umoja wa Falme za Kiarabu yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Sham hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa pande hizo nne kukiri wazi kuwa zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Habari ID: 3474546    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema leo masuala ya Iraq na Afghanistan ni muhimu kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474545    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Watu wanaoaminika kuwa na chuki dhidi ya Uislamu sasa wanalenga biashara zinazomilikwa na Waislamu nchini Marekani.
Habari ID: 3474541    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/11

TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa Iran iko tayari kuingia kwenye mazungumzo ambayo matokeo yake ni kuondolewa vikwazo vyote na kwamba haikubali mazungumzo yasiyo na mwelekeo.
Habari ID: 3474516    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05

TEHRAN (IQNA)- Operesheni maalumu na iliyotekelezwa wakati mwafaka na wanajeshi shupavu wa kikosi cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kuzima jaribio la uharamia na wizi wa mafuta uliosimamiwa na manuwari ya kijeshi ya Marekani katika maji ya Bahari ya Oman.
Habari ID: 3474511    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Abdul Rashid ni mhubiri maarufu kaika Kituo cha Waislamu cha As-Siddiq mjini New York ambaye hotuba zake huwa na mvuto kutokana na mbinu yake ya kusoma aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474507    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Moto ambao unashukiwa kuanzishwa na wenye chuki dhidi ya Uislamu umeharibu jengo la msikiti eneo la University Place, jimboni Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3474420    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474387    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uingiliaji na uwepo wa askari vamizi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ni chanzo cha mfarakano na uharibifu katika kanda hii.
Habari ID: 3474375    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

TEHRAN (IQNA) - Mke wa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi aliyeuawa kinyama mikononi mwa maajenti wa Ufalme wa Saudi Arabia huko Uturuki ameitaka Marekani iuwajibishe ufalme huo kutokana na mauaji ya kinyama ya mwandishi na mkosoaji huyo.
Habari ID: 3474373    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

TEHRAN (IQNA) – Uchunguzi mpya umebaini kuwa zaidi ya asilimia 67.5 ya Waislamu wanaoishi Marekani wamekumbana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu (Islampohobia) walau mara moja maishani.
Habari ID: 3474368    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01

Rais Raisi wa Iran katika hotuba kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za Marekani na washirika wake za kuitwisha dunia ubeberu wao zimefeli vibaya na kwamba siasa hizo za ubeberu hazina itibari tena kimataifa.
Habari ID: 3474324    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22

TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Muislamu katika jimbo la Michigan nchini Marekani amelalamika kuwa polisi walimvua Hijabu baada ya kumkamata. Alivuliwa Hijabu katika kituo cha polisi wakati wa kupigwa picha.
Habari ID: 3474319    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine imelaani vikali mkataba wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya madola ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474315    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19

TEHRAN (IQNA)- Umepita mwaka mmoja tangu kulipotiwa saini makubaliano baina ya utawala haramu wa Israel na nchi mbili za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain, ambapo mataifa hayo ya Kiarabu yaliafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474304    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17