iqna

IQNA

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Athari za baada ya mashambulizi yaSeptemba 11 za chuki dhidi ya Uislamu zinaendelea kuwakumba Waislamu Wa marekani huku ikiwa imetimia miaka 21 tokea mashambulizi hayo yajiri.
Habari ID: 3475773    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya picha yamefunguliwa huko San Antonio kwa lengo la kuangazia Waislamu huko Texas, Marekani.
Habari ID: 3475770    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) linawataka polisi nchini humo kuimarisha doria zaidi baada ya shambulio dhidi ya msikiti.
Habari ID: 3475756    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wa marekani wamefanya maandamano katika baadhi ya miji ya nchi hiyo wakilaani jinai na hatua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina na hatua ya mashirika makubwa ya Google and Amazon kuunga mkono utawala huo.
Habari ID: 3475755    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Mwanamke mmoja huko Plymouth, kusini magharibi mwa Uingereza, alikubali Uislamu baada ya kusoma Qur’ani Tukufu mara nne katika muda wa mwezi mmoja.
Habari ID: 3475726    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03

Ubaguzi Marekani
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) lilisema Waislamu wa Marekani wanaunga mkono wale wote wanaopinga ubaguzi wa rangi unaolenga watu wenye asili ya Afrika, chuki dhidi ya wageni, chuki dhidi Uislamu na itikadi kuwa wazungu ndio watu bora zaidi.
Habari ID: 3475721    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)-Jaji wa kwanza Mwislamu mwenye kuvaa Hijabu katika historia ya Marekani, ambaye alianza kazi yake miezi miwili iliyopita katika hafla ya kiapo kwa Qur'ani Tukufu, anasema kwamba ana nia ya kutetea haki za Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3475697    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Ugaidi Marekani
TEHRAN (IQNA) – M marekani mmoja katika jimbo la New Mexico nchini Marekani ameshtakiwa kwa kujaribu kuanzisha kituo cha mafunzo kwa watu wanaotaka kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS).
Habari ID: 3475692    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia katu haitalegeza msimamo mbele ya adui ili taifa hili liondolewe vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.
Habari ID: 3475682    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26

Ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA)- Utafiti wa Chuo Kikuu cha Rice unaonyesha kuwa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wanakabiliwa na utumiaji mabavu na unyanyasaji mara tano zaidi yaw engine kutoka kwa polisi nchini humo.
Habari ID: 3475677    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Hatua za usalama zinatarajiwa kuimarishwa karibu na misikiti huko Houston Marekani baada ya wanaume wanne Waislamu kuuawa ndani ya siku 10 huko Albuquerque.
Habari ID: 3475600    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Paterson, jimbo la New York Marekani, umelengwa na wahalifu wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu mapema wiki hii.
Habari ID: 3475588    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

Kuhifadhi Qur’ani
TEHRAN (IQNA)- Msichana aliyehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu huko New Jersey Marekani ameenziwa kutokana na mafanikio yake.
Habari ID: 3475569    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anasema harakati harakati hiyo ilikataa mapendekezo kadhaa ya hongo ya kifedha ya Marekani ili kusitisha mapambano yake na utawala wa Kizayuni wa Israel .
Habari ID: 3475525    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Lebanon haitaki vita, lakini iwapo haitapata inachostahiki, utawala wa Kizayuni hautaruhusiwa kuchimba mafuta.
Habari ID: 3475520    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20

Uzayuni na Marekani
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja safari ya Rais Joe Biden wa Marekanii katika eneo la Asia Magharibi (Mashariaki ya Kati) kuwa ni kielelezo cha kivitendo cha uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv na imeonya kuhusu hatari ya safari hiyo kwa eneo hilo na mapambano ya Palestina.
Habari ID: 3475502    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, mojawapo ya matunda muhimu zaidi ya mhimili wa Muqawama au mapambano ya Kiislamu yalikuwa ni kuuzima mpango wa Marekani wa kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya.
Habari ID: 3475500    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Watu wawili walirusha kitu kinachofanana na bomu la molotov kwenye nembo kubwa ya hilali nje ya Msikiti wa Fatima al-Zahra huko Long Island, New York, Marekani siku chache kabla ya sherehe ya Kiislamu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475498    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina ustahiki wa kuzungumzia suala la haki za binadamu kutokana na namna inavyokiuka kwa wingi haki za binadmau duniani.
Habari ID: 3475461    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04