iqna

IQNA

Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA) Tarehe 3 kila mwaka nchini Iran Julai ni siku ya kumbukumbu ya shambulio la kombora lililofanywa na meli ya kivita ya Marekani ya Vincennes dhidi ya ndege ya abiria ya Iran aina ya Airbus iliyokuwa ikiruka kutoka Bandar Abbas kuelekea Dubai.
Habari ID: 3475460    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

Mshauri wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kuna haja ya kuwafahaisha vijana utambulisho halisi wa Marekani ambayo inatenda jinai lakini inadai kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3475459    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Rais Maduro wa Venezuela
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uzoefu wenye mafanikio wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela katika kupambana na vikwazo vya Marekani umedhihirisha wazi kuwa, mapambano au muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya namna hiyo.
Habari ID: 3475366    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshiriki katika Hauli ya mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, "Imam Khomeini MA alikuwa roho ya Jamhuri ya Kiislamu'
Habari ID: 3475334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Mtazamo wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani amelaani mauaji ya kiholela hivi karibuni katika shule huko Texas, Marekani ambapo watu 22 waliuawa huku akiashiria aya ya 32 ya Sura Al Maidah katika Qur'ani Tukufu inayozungumzia matukio kama hayo ya mauaji yasiyo na msingi.
Habari ID: 3475303    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Uislamu duniani
TEHRAN (IQNA)- Mwezi wa Kimataifa wa Historia ya Waislamu ni mpango wa kila mwaka unaoadhimisha mafanikio ya Waislamu katika historia na kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu duniani kote kupitia elimu.
Habari ID: 3475274    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Jumuiya ya Kiislamu ya Raleigh katika jimbo la North Carolina nchini Marekani, ambacho ni msikiti na mahali pa kukutania jamii ya Waislamu, kimejitokeza ili kuhakikisha kila mtu aliyefunga anakuwa na Ramadhani yenye furaha.
Habari ID: 3475190    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30

TEHRAN (IQNA)- Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021, mwaka huo huo ambao ulishuhudia ongezeko kubwa la visa vya ubaguzi na unyanyasaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475178    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28

TEHRAN (IQNA)-Wanaume wawili wa Illinois ambao walisaidia kulipua msikiti wa Minnesota mnamo 2017 mnamo Jumanne walipokea vifungo vya jela chini ya kiwango cha miaka 35 ambacho walitakiwa kufungwa.
Habari ID: 3475124    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/13

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, utawala haramu wa Israel na Uingereza ndio wahandisi wa kushambuliwa na kukaliwa kwa mabavu taifa la Yemen tokea mwaka 2015 hadi sasa.
Habari ID: 3475076    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuiridhia Marekani au dola jengine lolote lile kwa ajili ya kuepukana na vikwazo ni kosa kubwa na pigo kwa nguvu za kisiasa.
Habari ID: 3475030    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani imetenda jinai nyingi dhidi ya wananchi wa mataifa mbalimbali ya dunia na kuiamini nchi hiyo ni ujuha na ujinga.
Habari ID: 3475025    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/09

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa hotuba muhimu katika ufunguzi wa kongamano linalofanyika mjini Beirut kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa 30 tangu alipouawa shahidi Katibu Mkuu wa Pili wa Hizbullah, Sayyid Abbas al-Musawi na kusema Marekani inabeba dhima ya mgogoro wa sasa wa Ukraine.
Habari ID: 3474990    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

TEHRAN (IQNA)- Bustani ya Belton-Mark Twain mjini Detroit, jimbo la Michigan la Marekani, ina jukumu muhimu katika kusaidia familia za karibu kupata bustani nzuri ya kupumzika.
Habari ID: 3474929    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/14

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Texas Marekani unapanga 'Siku ya Wazi' ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu ili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3474882    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa baguzi wa rangi wa apartheid. Amnesty Internation inakuwa taasisi ya karibuni zaidi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuitangaza Israel kuwa ni utawala wa apartheid.
Habari ID: 3474881    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, jihadi ya wajasiriamali na wafanyakazi wa viwandani katika ngome ya uzalishaji imeifanya Marekani ikiri kuwa imeshindwa katika vita vyake vya kiuchumi.
Habari ID: 3474870    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa mjini Tehran amegusia mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna kuhusu kuondolewa vikwazo vya kidhulma ilivyowekewa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote ilivyoiwekea Iran, tena kwa sura ya kudumu.
Habari ID: 3474862    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/28

TEHRAN (IQNA)- Raia wa Sudan wanaendelea kufanya maandamano wakipinga uingiliaji wa madola ya kigeni au ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi yao na wamemtaka mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuondoka nchini humo.
Habari ID: 3474858    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/27

Vita dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Ubalozi wa Marekani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetoa onyo la usalama la hali ya juu kwa Wa marekani wanaoishi huko Imarati kufuatia mashambulizi ya makombora ya jeshi la Yemen na wapiganaji wa Ansarullah huko Abu Dhabi.
Habari ID: 3474852    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/25