iqna

IQNA

Waislamu Marekani
WASHIGNTON, DC (IQNA) - Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa uhalifu wa chuki baada ya kushambulia kundi la Waislamu katika bustani moja huko California, Marekani siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477416    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/11

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Chama cha Wanasheria wa Marekani (ABA), chombo kikubwa zaidi cha wanasheria nchini Marekani, kimepitisha azimio la kulaani chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3477413    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10

Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Des Moines kinafanya maandalizi ya kupata makaburi yake, kuashiria hatua muhimu katika kujitolea kwao kudumisha mila za Kiislamu na kupunguza mzigo wa kifedha kwa familia zilizofiwa.
Habari ID: 3477377    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Mashindano ya Qur'ani
MINNESOTA (IQNA) - Msichana Mkenya mwenye umri wa miaka 17 alishinda tuzo ya kifahari ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3477272    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477249    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07

Kwa mujibu wa Iqna, likinukuu gazeti la US Today, Waislamu wana historia ndefu nchini Marekani, wakianzia utumwani, inaonekana kuwa dini hii ya waislamu mara nyingi inatambulishwa na Waamerika Waarabu katika nchi hii, ukweli ni kwamba Weusi na Waasia ni sehemu kubwa ya jamii hii.
Habari ID: 3477158    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/18

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mameya kumi na sita katika jimbo la New Jersey walionyesha kumuunga mkono Meya Muislamu Mohamed Khairullah, ambaye hakualikwa kwenye dhifa ya Idul Fitr iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Joe Biden katika Ikulu ya White House mapema mwezi huu.
Habari ID: 3477023    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

TEHRAN (IQNA) - Uharibifu uliharibu milango ya msikiti huko St Paul, ni tukio la hivi karibuni la mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya ibada ya Waislamu katika wiki za hivi karibuni katika eneo a Twin Cities nchini Marekani.
Habari ID: 3476992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mbunge mmoja wa bunge la Marekani amesisitiza upya msukumo wa kuhakikisha kwamba misaada ya nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni Israel haichangii dhuluma dhidi ya Wapalestina, hasa watoto, huku wabunge wakiendelea kutoa wito wa kuwekwa masharti kuhusu usaidizi huo.
Habari ID: 3476972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka mara tatu Marekani tokea hujuma za Septemba11 mwaka 2001 huku wanasiasa wakiitumia wakitumia chuki hiyo kuendeleza ajenda zao wenyewe, shirika la haki za kiraia la kutetea haki za Waislamu Marekani linasema.
Habari ID: 3476971    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ametaja kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni ushindi au nusra kutoka kwa Mwenyezi Mungu na akaongeza kuwa: "Kumfuata Wali ul Amr wa Waislamu na Hujja za Kisharia ni mfano wa usaidizi wa Mwenyezi Mungu."
Habari ID: 3476960    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Jiji la Minneapolis limekuwa jiji la kwanza kubwa la Marekani kuruhusu utangazaji bila vikwazo wa wito wa Waislamu wa Sala yaani Adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti mara tano kwa siku mwaka mzima.
Habari ID: 3476872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Uislamu (CAIR) lilitoa ripoti Jumanne iliyoangazia matukio ya kitaifa ya malalamiko ya haki za kiraia yaliyofanywa na Waislamu Wa marekani mwaka 2022 ambayo yalionyesha kupungua kwa 23%.
Habari ID: 3476861    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Kesi imewasilishwa katika jimbo la Missouri nchini Marekani baada ya wanaume Waislamu waliokuwa wakisali pamoja kwenye chumba chao kwenye gereza kumwagiwa dawa ya pilipili na kushambuliwa na maafisa wa gereza
Habari ID: 3476658    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Mabinti wa mwanaharakati wa haki za kiraia Muislamu mweusi, Malcolm X, wamesema wataishtaki polisi ya jiji la New York na Shirika Kuu la Kijasusi Marekani, CIA, na Idara ya Upelelezi ya Marekani, FBI, kwa kuhusika na mauaji ya baba yao, hapo 1965.
Habari ID: 3476609    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa chama cha upinzani cha Republican katika Baraza la Wawakilishi la Bunge la Marekani (Congress) wamepiga kura ya kumtimua Ilhan Omar katika kamati muhimu ya bunge kutokana na kitendo cha mbunge huyo Muislamu kuwakejeli wanasiasa wa Marekani kutokana na uungaji mkono wao usio na msingi kwa utawala wa Israel mkabala wa kupokea malipo ya malipo ya fedha.
Habari ID: 3476507    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/03

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Ilhan Omar, Mbunge Mwislamu wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani anayewakilisha jimbo la Minnesota amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa chama cha Republican hawataki kuona kunakuweko na Wabunge Waislamu katika Kongresi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476497    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01