iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Marekani wanataka uchunguzi ufanyike baada ya msikiti kuhujumiwa katika mji wa Waterloo jimboni Iowa.
Habari ID: 3474775    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/06

Sayyid Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

#for_martyrs' sake
TEHRAN (IQNA)- Kampeni ya Kimataifa ya kusoma Qur'ani Tukufu kwa munasaba wa mwaka wa pili tokea auawe shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani imezinduliwa.
Habari ID: 3474735    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

TEHRAN (IQNA)- Polisi katika mji wa Columbus jimboni Ohio Marekani wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya Imamu wa msikiti mmoja katika mji huo.
Habari ID: 3474730    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa imesalia siku chache kabla ya kumbukumbu kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Solemani, mchoro mkubwa wa kamanda huyo na wanajihadi wenzake waliouawa shahidi umepandisha katika barabara kuu inayolekea uwanja wa ndege wa Beirut nchini Lebanon.
Habari ID: 3474725    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

TEHRAN (IQNA)- Issa Shahini ni Muislamu aliyehudumu kwa muda mrefu katika Idara ya Polisi ya Dearbon, jimboni Michigan Marekani na sasa ameteuliwa kuwa mkuu wa polisi katika mji huo.
Habari ID: 3474702    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21

TEHRAN (IQNA)-e Baraza la Wawakilishi la katika Bunge la Congress nchini Marekani limepasisha muswada wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia licha ya kupingwa na wabunge wote wa chama cha Republican cha Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani mwenye chuki na uadui mkubwa na Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3474680    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA) – Mbunge Muslamu katika Bunge la Congress nchini Marekani, Bi. Ilhan Omar wa chama cha Democrat amehujumiwa kwa maneno makali na mbunge mwenzake mwenye misimamo mikali wa chama cha Republican ambaye amemtaja kuwa ‘mwenye kiu cha damu’ na mtetezi wa ugaidi.
Habari ID: 3474624    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01

Mmarekani mfeministi aliyesilimu
TEHRAN (IQNA)- Theresa Corbin aliwahi kuwa mfeministi sugu nchini Marekani lakini baada ya kupata nuru ya uwongofu, aliondoka katika Ukristo na kusilimu na sasa anazungumzo kuhusu yaliyomvutia katika Uislamu.
Habari ID: 3474559    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/15

TEHRAN (IQNA)- Majeshi ya majini ya utawala haramu wa Israel, Bahrain, Marekani na Umoja wa Falme za Kiarabu yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Sham hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa pande hizo nne kukiri wazi kuwa zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Habari ID: 3474546    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema leo masuala ya Iraq na Afghanistan ni muhimu kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474545    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Watu wanaoaminika kuwa na chuki dhidi ya Uislamu sasa wanalenga biashara zinazomilikwa na Waislamu nchini Marekani.
Habari ID: 3474541    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/11

TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa Iran iko tayari kuingia kwenye mazungumzo ambayo matokeo yake ni kuondolewa vikwazo vyote na kwamba haikubali mazungumzo yasiyo na mwelekeo.
Habari ID: 3474516    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05

TEHRAN (IQNA)- Operesheni maalumu na iliyotekelezwa wakati mwafaka na wanajeshi shupavu wa kikosi cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kuzima jaribio la uharamia na wizi wa mafuta uliosimamiwa na manuwari ya kijeshi ya Marekani katika maji ya Bahari ya Oman.
Habari ID: 3474511    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Abdul Rashid ni mhubiri maarufu kaika Kituo cha Waislamu cha As-Siddiq mjini New York ambaye hotuba zake huwa na mvuto kutokana na mbinu yake ya kusoma aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474507    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Moto ambao unashukiwa kuanzishwa na wenye chuki dhidi ya Uislamu umeharibu jengo la msikiti eneo la University Place, jimboni Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3474420    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474387    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uingiliaji na uwepo wa askari vamizi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ni chanzo cha mfarakano na uharibifu katika kanda hii.
Habari ID: 3474375    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

TEHRAN (IQNA) - Mke wa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi aliyeuawa kinyama mikononi mwa maajenti wa Ufalme wa Saudi Arabia huko Uturuki ameitaka Marekani iuwajibishe ufalme huo kutokana na mauaji ya kinyama ya mwandishi na mkosoaji huyo.
Habari ID: 3474373    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02