marekani - Ukurasa 7

IQNA

Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu cha Vermont.
Habari ID: 3477954    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/27

Waungaji mkono Palestina
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani wamefanya mgomo wa kujilaza chini ndani ya chuo kwa karibu mwezi mmoja kulaani ukatili wa Israel huko Gaza na kuwataka maafisa wa chuo kikuu kususia miradi na taasisi za kitaaluma za Israel.
Habari ID: 3477909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINTON, DC (IQNA) - Mwanamume aliyekuwa akiuza bidhaa zinazohusiana na imani ya Kiislamu nje ya msikiti huko Providence, Rhode Island, alipigwa risasi na kujeruhiwa Ijumaa asubuhi, kulingana na polisi wa eneo hilo.
Habari ID: 3477907    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Kimbunga cha Al Aqsa
Israel WASHINGTON, DC (IQNA) - Asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wanaunga mkono Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, dhidi ya utawala wa Israel, wakisema kundi hilo la kupigania ukombozi lilikuwa na haki katika mashambulizi yake.
Habari ID: 3477896    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ripoti mpya inasema kwamba matukio ya chuki dhidi ya Waarabu na Waislamu nchini Marekani yameongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu vita kati ya Israel na Wapalestina kuzuka katika Ukanda wa Gaza mwezi uliopita.
Habari ID: 3477872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameilaani vikali Marekani kutokana na uungaji mkono wake usio na masharti kwa kampeni ya kijeshi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Aidha amesema utawala wa Israel umepata idhini ya Marekani ya kutekeleza mashambulizi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477842    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/05

TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri ambayo aghalabu inalenga Waislamu pekee kwa uchunguzi wanaposafiri kwa ndege.
Habari ID: 3477622    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/19

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Miaka 22 imepita tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika miji ya New York na Washington, tukio ambalo liliathiri sio Marekani pekee, bali karibu dunia nzima.
Habari ID: 3477585    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kongamano kuu la Waislamu huko Chicago, Marekani limekamilika Jumatatu baada ya siku tatu za shughuli.
Habari ID: 3477545    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04

Waislamu Marekani
NEW YORK (IQNA) – Kwa mara ya kwanza katika historia, mwito wa Kiislamu kwa sala, unaojulikana kama Adhana, ulisikika katika mitaa ya Jiji la New York siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477539    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/02

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Adhana, mwito wa Kiislamu wa Sala, unaweza kutangazwa kwa vipaza Saudi katika Jiji la New York kwa nyakati maalumu kila Ijumaa na wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3477525    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Chuki dhidi ya Uislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Tishio la bomu lilitolewa dhidi ya Msikiti wa Mohammed (Masjid Muhammad), huko Washington, DC, wakati wa sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3477462    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

Waislamu Marekani
WASHIGNTON, DC (IQNA) - Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa uhalifu wa chuki baada ya kushambulia kundi la Waislamu katika bustani moja huko California, Marekani siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477416    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/11

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Chama cha Wanasheria wa Marekani (ABA), chombo kikubwa zaidi cha wanasheria nchini Marekani, kimepitisha azimio la kulaani chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3477413    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10

Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Des Moines kinafanya maandalizi ya kupata makaburi yake, kuashiria hatua muhimu katika kujitolea kwao kudumisha mila za Kiislamu na kupunguza mzigo wa kifedha kwa familia zilizofiwa.
Habari ID: 3477377    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Mashindano ya Qur'ani
MINNESOTA (IQNA) - Msichana Mkenya mwenye umri wa miaka 17 alishinda tuzo ya kifahari ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3477272    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477249    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07

Kwa mujibu wa Iqna, likinukuu gazeti la US Today, Waislamu wana historia ndefu nchini Marekani, wakianzia utumwani, inaonekana kuwa dini hii ya waislamu mara nyingi inatambulishwa na Waamerika Waarabu katika nchi hii, ukweli ni kwamba Weusi na Waasia ni sehemu kubwa ya jamii hii.
Habari ID: 3477158    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/18

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26