Waislamu Marekani
        
        IQNA – Mji wa Michiganu Januari kuwa "Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani," ili kutambua michango muhimu ya Waislamu wa Marekani katika utamaduni, uchumi, na jamii katika jimbo hilo.
                Habari ID: 3480036               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/01/11
            
                        Diplomasia ya Muqawama
        
        IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq sambamba na kuimarisha  kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al-Hashd al-Shaabi.
                Habari ID: 3480022               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/01/09
            
                        Siasa
        
        IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Marekani mara zote imekuwa ikifanya makosa katika mtazamo wake dhidi ya Iran kwa miongo kadhaa sasa.
                Habari ID: 3480017               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/01/08
            
                        Kiongozi Muadhamu
        
        IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepuuzilia mbali madai kwamba Iran imefungiwa njia ya kufikia "vikosi vyake vya niaba" katika eneo, na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wala haihitaji vikosi hivyo ili kufikia malengo yake
                Habari ID: 3479935               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/12/22
            
                        Waislamu wa Marekani
        
        IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Naperville (ICN) nchini Marekani kimekamilisha awamu ya awali ya mradi wake mpya wa msikiti wa futi za mraba 28,400 kwenye barabara ya 248th Avenue.
                Habari ID: 3479929               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/12/21
            
                        Haki za Binadamu
        
        IQNA-Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,
                Habari ID: 3479910               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/12/16
            
                        
        
        IQNA - Kuna mashirika mengi ya kutoa misaada ya Kiislamu nchini Marekani yanayojaribu kupeleka misaada Wapalestina  wa Ukanda wa Gaza wanaokumbwa na vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na Israel, lakini wanakabiliwa na vikwazo na ubaguzi mbalimbali.
                Habari ID: 3479828               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/30
            
                        Diplomasia
        
        IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unatarajiwa kutumia muda uliobakia madarakani kukomesha hujuma za Israel huko Gaza na Lebanon.
                Habari ID: 3479738               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/11
            
                        Chuki dhidi ya Waislamu Marekani
        
        IQNA - Seneta wa Illinois Sara Feigenholtz anakabiliwa na ongezeko la wito wa kujiuzulu baada ya kutuma ujumbe wa chuki dhidi ya Uislamu kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii.
                Habari ID: 3479686               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/02
            
                        Muqawama
        
        IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo ameeleza sababu za msingi za mapambano ya taifa la Iran yanayoendelea kwa takriban miaka 70 dhidi ya dhulma na sera za kupenda kujitanua za Marekani, na kusisitiza kuwa: Katika njia hiyo ya ushindi, utawala wa Kizayuni na Marekani watapewa jibu kali kwa hatua yoyote dhidi ya taifa la Iran.
                Habari ID: 3479685               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/02
            
                        Waislamu Marekani
        
        IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limemsuta rais wa zamani Bill Clinton kwa jaribio lake la kuutetea utawala katili wa Israel ambao unaendesha mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
                Habari ID: 3479678               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/01
            
                        
        
        IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
                Habari ID: 3479633               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/22
            
                        Uislamu Marekani
        
        IQNA - Mkurugenzi wa kituo cha uchapishaji cha Qur'ani Tukufu huko Chicago, Marekani, amebainisha ongezeko kubwa la hamu ya Wa marekani  kusoma Qur’ani Tukufu tangu kuanza kwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya Gaza.
                Habari ID: 3479610               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/18
            
                        
        
        IQNA - Video ya mtu akisoma Qur'ani Tukufu katika duka la sandwichi katika mtaa wa Times Square mjini New York City licha ya kutozwa faini ya $50 imevutia watu wengi kwenye mitandao ya kijamii.
                Habari ID: 3479606               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/17
            
                        Chuki dhidi ya Uislamu
        
        IQNA - Mwanaume mmoja wa eneo la New Jersey Marekani amekiri kutenda uhalifu wa chuki kwa kuharibu kituo cha wanafunzi wa Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers mapema mwaka huu, maafisa walitangaza Alhamisi.
                Habari ID: 3479575               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/11
            
                        Ubaguzi Marekani
        
        IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limewasilisha malalamiko katika Idara ya Elimu ya Marekani, likitaka uchunguzi ufanyike iwapo Chuo Kikuu cha Michigan kimeshindwa kuwalinda wanafunzi wa Palestina, Waarabu, Waislamu na Waasia Kusini kutokana na kubaguliwa.
                Habari ID: 3479574               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/11
            
                        Watetezi wa Palestina
        
        IQNA - Katika kuadhimisha kumbukumbu ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa dhidi ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mwaka jana,  waandamanaji wanaounga mkono Palestina wamejitokeza kwa wingi katika mitaa ya Manhattan, New York, Jumatatu usiku.
                Habari ID: 3479564               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/09
            
                        Dhulma
        
        IQNA - Mahakama ya Kuu ya Marekani, mfumo wa mahakama ya Missouri na Gavana wa jimbo hilo Michael Lynn Parson wamelaaniwa kwa kushindwa kuzuia kunyongwa kwa mfungwa Mwislamu aliyehukumiwa kifo kimakosa.
                Habari ID: 3479493               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/26
            
                        Arbaeen
        
        IQNA - Mwakilishi wa Jimbo la Utah nchini Marekani Trevor Lee amehimizwa kukutana na Waislamu wa jimbo hilo baada ya video aliyochapisha kusababisha wimbi la chuki dhidi ya Uislamu.
                Habari ID: 3479351               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/30
            
                        Waislamu Marekani
        
        IQNA - Polisi wa Marekani mjini New York (NYPD) walirarua hijabu za wanawake wengi wa Kiislamu waliokuwa wakiandamana nje ya mkutano wa kukusanya fedha wa Kamati ya Kitaifa ya chama cha Democrat wiki iliyopita.
                Habari ID: 3479317               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/23