iqna

IQNA

Waislamu Marekani
IQNA - Polisi wa Marekani mjini New York (NYPD) walirarua hijabu za wanawake wengi wa Kiislamu waliokuwa wakiandamana nje ya mkutano wa kukusanya fedha wa Kamati ya Kitaifa ya chama cha Democrat wiki iliyopita.
Habari ID: 3479317    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Waislamu Marekani
IQNA – Baada ya Kongamano la Kitaifa la Chama cha Democrat (DNC) nchini Marekani kukataa kumshirikisha mzungumzaji Mpalestina-M marekani katika mkutano wa Chicago, kundi la Waislamu Wanawake Kwa Ajili ya Kamala Harris limetangaza kutumuunga mkono mgombea huyo wa kiti cha rais.
Habari ID: 3479312    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mzee wa miaka 75 amepigwa risasi mara kadhaa nje ya msikiti wa Masjid An-Nur kaskazini mwa Minneapolis nchini Marekani siku ya Jumatatu jioni.
Habari ID: 3479309    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mwanaume Myahudi, Izak Kadosh wa eneo la Brooklyn, Marekani anakabiliwa na mashtaka zaidi ya 40, ikiwa ni pamoja na jaribio la pili la mauaji na uhalifu wa chuki, kutokana na vitendo vyake vya chuki  dhidi ya jirani yake Muislamu, Ahmed Chebira.
Habari ID: 3479288    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Watetezi wa Palestina
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limetangaza kesi dhidi ya serikali ya shirikisho kwa kuwaweka Wapalestina-Wa marekani wawili kwenye orodha ya siri ya kufuatiliwa kutokana na msimamo wao wa kuwaunga mkono Wapalestina wanaoteswa na Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479272    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Waislamu Marekani
IQNA - Mwanaume mmoja katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Markani amekamatwa na kushtakiwa kwa kuvamia na kuharibu msikiti Jumapili jioni.
Habari ID: 3479174    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

Mauaji ya Marekani na Israel
Ushirikiano wa Marekani na Israel katika mauaji ya halaiki, mauaji ya kikabila na njaa ya kulazimishwa utajenga taswira ya jumuiya ya kimataifa ya Marekani kwa vizazi vijavyo, shirika la utetezi la Waislamu lilisema.
Habari ID: 3479058    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amebainisha kuwa maandamano yanayoongozwa na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani katika kuunga mkono Palestina nni yamegeuza vyuo vikuu hivyo kuwa tawi la mrengo wa Muqawama (mapambano)
Habari ID: 3478933    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05

Nasaha
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa Marekani wamesimama katika upande sahihi wa historia huku akiwanasihi wajifunza Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478903    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/30

Harakati
IQNA - Vuguvugu la wanafunzi lililoanza katika vyuo vikuu vya Marekani na kuenea katika mataifa mengine linaahidi mfumo wa dunia wenye haki na haki, mwanadiplomasia wa Tunisia alisema.
Habari ID: 3478790    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08

Watetezi wa Palestina
IQNA - Vuguvugu la wanafunzi wanaounga mkono Palestina, wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel, limeenea kote nchini Marekani licha ya ukandamizaji wa polisi, huku wanafunzi wa vyuo vikuu vingi kama vile Yale, New York, Harvard, Texas huko Austin, na Kusini mwa California wakijiunga nayo.
Habari ID: 3478759    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Waislamu Marekani
IQNA – Ofisi ya Maadili ya  Chuo Kikuu cha Duke nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kuhusu uchafuzi wa mabango kuhusu mwezi wa Ramadhani,  jambo ambalo limeibua wasiwasi wa chuki dhidi ya Uislamu ndani ya a chuo hicho.
Habari ID: 3478750    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30

Watetezi wa Palestina
IQNA-Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ambapo serikali ya Biden imetoa msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na silaha kwa Tel Aviv wakati wa vita vya Gaza, ambavyo vimeingia katika mwezi wake wa saba.
Habari ID: 3478745    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/28

Kadhia ya Palestina
IQNA-Marekani, ambayo ni muungaji mkono mkuu wa utawala haramu wa Israel, imeendeleza sera yake ya kudhoofisha kupatikana haki za Wapalestina kwa kutumia vibaya haki yake ya kura ya turufu na kupinga azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3478702    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Waislamu Marekani
IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3478701    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Jinai za Israel
IQNA - Barabara kuu ya 101 ya San Francisco kwenye daraja la Golden Gate ilifungwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakitaka kukomesha uungaji mkono wa Marekani kwa utawala katili wa Israel ambao unaendeleza vita vya mauaji ya kimbari Gaza.
Habari ID: 3478688    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

IQNA-Wanafunzi wa aislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers nchini Marekani wameelezea wasiwasi juu ya usalama wao baada ya kituo chao cha Kiisilamu kuharibiwa wakati wa siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3478675    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

IQNA - Wanafunzi wengi katika Chuo Kikuu cha Washington (UW) huko Seattle nchini Marekani wameandamana kupinga ubaguzi na chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3478600    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Jumuiya ya Wanafunzi Waislamu wa Kisomali (SSA) ya Chuo Kikuu cha Washington Seattle (SSA) imelengwa kwa barua ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478584    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/26

Waislamu Marekani
IQNA - Huko Houston, Marekani Waislamu wametangaza kususia hafla ya 25 ya kila mwaka ya Futari ambayo kulalmikia mwaliko kwa viongozi wa serikali.
Habari ID: 3478530    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17