iqna

IQNA

Uislamu unaenea kwa kasi
IQNA - Gervonta Davis, bondia bingwa wa dunia kutoka Baltimore, Marekani alisilimu siku ya Jumapili katika msikiti mmoja. Hayo yamedokezwa na Sheikh Hassan Abdi, ambaye aliongoza sherehe hiyo.
Habari ID: 3478108    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria chimbuko la matukio ya hivi karibuni huko Palestina na kusema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni zinapaswa kushtakiwa kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.
Habari ID: 3478082    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala wa Israel hauwezi kufanya jinai nyingi kiasi hiki dhidi ya Wapalestina huko Ghaza bila ya uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.
Habari ID: 3478081    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Takriban malalamiko 220 ya matukio ya chuki dhidi ya Waislamu yamepokelewa na taasisi ya kuwatetea Waislamu katika jimbo la Maryland nchini Marekani tangu Oktoba 9.
Habari ID: 3478043    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba unapaswa kutumiwa kuunda muungano wa nchi ambazo zina misimamo sawa dhidi ya ubabe na utumiaji mabavu wa Marekani na Wamagharibi.
Habari ID: 3477987    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa uungaji mkono wao kwa Rais Joe Biden, kwa sababu ya kushindwa kwake kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza.
Habari ID: 3477981    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia dhidi ya wananchi wa Ghaza huko Palestina wanaoendelea kuzingirwa kila upande.
Habari ID: 3477972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas kimsingi lilikuwa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini limeweza kuvuruga sera za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia na litaifuta kabisa ajenda hiyo.
Habari ID: 3477965    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/29

Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu cha Vermont.
Habari ID: 3477954    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/27

Waungaji mkono Palestina
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani wamefanya mgomo wa kujilaza chini ndani ya chuo kwa karibu mwezi mmoja kulaani ukatili wa Israel huko Gaza na kuwataka maafisa wa chuo kikuu kususia miradi na taasisi za kitaaluma za Israel.
Habari ID: 3477909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINTON, DC (IQNA) - Mwanamume aliyekuwa akiuza bidhaa zinazohusiana na imani ya Kiislamu nje ya msikiti huko Providence, Rhode Island, alipigwa risasi na kujeruhiwa Ijumaa asubuhi, kulingana na polisi wa eneo hilo.
Habari ID: 3477907    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Kimbunga cha Al Aqsa
Israel WASHINGTON, DC (IQNA) - Asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wanaunga mkono Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, dhidi ya utawala wa Israel, wakisema kundi hilo la kupigania ukombozi lilikuwa na haki katika mashambulizi yake.
Habari ID: 3477896    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ripoti mpya inasema kwamba matukio ya chuki dhidi ya Waarabu na Waislamu nchini Marekani yameongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu vita kati ya Israel na Wapalestina kuzuka katika Ukanda wa Gaza mwezi uliopita.
Habari ID: 3477872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameilaani vikali Marekani kutokana na uungaji mkono wake usio na masharti kwa kampeni ya kijeshi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Aidha amesema utawala wa Israel umepata idhini ya Marekani ya kutekeleza mashambulizi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477842    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/05

TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri ambayo aghalabu inalenga Waislamu pekee kwa uchunguzi wanaposafiri kwa ndege.
Habari ID: 3477622    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/19

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Miaka 22 imepita tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika miji ya New York na Washington, tukio ambalo liliathiri sio Marekani pekee, bali karibu dunia nzima.
Habari ID: 3477585    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kongamano kuu la Waislamu huko Chicago, Marekani limekamilika Jumatatu baada ya siku tatu za shughuli.
Habari ID: 3477545    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04

Waislamu Marekani
NEW YORK (IQNA) – Kwa mara ya kwanza katika historia, mwito wa Kiislamu kwa sala, unaojulikana kama Adhana, ulisikika katika mitaa ya Jiji la New York siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477539    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/02

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Adhana, mwito wa Kiislamu wa Sala, unaweza kutangazwa kwa vipaza Saudi katika Jiji la New York kwa nyakati maalumu kila Ijumaa na wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3477525    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Chuki dhidi ya Uislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Tishio la bomu lilitolewa dhidi ya Msikiti wa Mohammed (Masjid Muhammad), huko Washington, DC, wakati wa sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3477462    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19