iqna

IQNA

IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris umelaani mwenendo unaoongezeka wa mashambulizi ya kisiasa na vyombo vya habari dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3479010    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24

Kundi la Waislamu wa mji wa Buffalo katika jimbo la New York huko Marekani imewagawia wananchi wa mji huo mashada ya maua yenye semi na maneno ya Mitume wa dini za mbinguni.
Habari ID: 1460244    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/14