japan - Ukurasa 2

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Japan imezindua 'misikiti inayotembea' ambayo itatumika katika Michezo ya Olimpiki na Paralimpiki Tokyo mwaka 2020.
Habari ID: 3471611    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/29

TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la reli nchini Japan limejenga vyumba vya Waislamu kuswali katika moja ya vituo vyake muhimu.
Habari ID: 3471489    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/30

TEHRAN (IQNA) – Katika nchi za Kiislamu kwa kawaida huwa huwa hakuna tatizo kupata chakula au bidhaa halali.
Habari ID: 3471432    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/18

TEHRAN (IQNA)- Kuna mpango wa kutumia 'Misikiti itembeayo' katika michezo ya Olympiki na Paralimpiki mjini Tokyo, Japan mwaka 2020 kwa lengo la kuwasahilishia Waislamu ibada.
Habari ID: 3471398    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/20

TEHRAN (IQNA)-Japan inaibuka kama nchi yenye watalii wengi Waislamu kutokana na huduma inazotoa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu hasa chakula halali.
Habari ID: 3471228    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/23

IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03

IQNA-Maonyesho ya kwanza ya mavazi ya kike ya Kiislamu yamepangwa kufanyika tarehe 22-23 Novemba katika mji wa Tokyo, nchini Japan.
Habari ID: 3470675    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14

IQNA-Nchini Japan kumeshuhudiwa ongezeko la vyumba maalumu kwa ajili ya Waislamu kusimamisha sala katika maeneo ya umma.
Habari ID: 3470661    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/07

Polisi huko Tokyo nchini Japan wanawafanyia ujasusi Waislamu kwa sababu ya dini yao, tokea mwaka 2008.
Habari ID: 3470498    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/06