iqna

IQNA

IQNA -Majeshi ya Yemen yamelenga kwa mafanikio uwanja mmoja wa ndege wa Israel na manuwari ya Marekani yenye uwezo wa kusheheni ndege za kivita katika mashambulizi ya makombora siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480434    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25

Shambulizi la Israel dhidi ya Bandari ya al Hudaydah
Vikosi vya Jeshi la Yemen vimeapa kuendeleza operesheni zinazoiunga mkono Palestina baada ya utawala haramu wa Israel kushambulia maeneo ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3479160    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/21

Rais Yahya Jammeh wa Gambia ameitangaza nchi yake kuwa Jamhuri ya Kiislamu itangaza hatua hiyo na kusema kuwa, kuanzia sasa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu unatawala nchini humo ikiwa ni katika juhudi za kutoa utambulisho kwa thamani za kidini.
Habari ID: 3462295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/12