iqna

IQNA

IQNA – Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi wanachama wa BRICS wametoa tamko la pamoja wakisisitiza kuwa, kutokana na hali ya sasa ya dunia, jukumu kuu na la dharura ni kufanya juhudi za hali ya juu kuhifadhi na kukuza maadili bora ya familia miongoni mwa vijana.
Habari ID: 3481188    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/05

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa kilele wa BRICS ulitoa wito wa kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina na Jerusalem Mashariki kama mji mkuu wake.
Habari ID: 3477497    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Muungano wa kiuchumi wa BRICS wa masoko yanayoibuka duniani umeamua kutoa mialiko ya uanachama kwa mataifa sita.
Habari ID: 3477490    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24