IQNA – Raghib Mustafa Ghalwash, msomaji mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri na mmoja wa wasomaji wenye ushawishi mkubwa wa kisasa, anajulikana kwa majina kama "Plato wa Melodi za Qur’ani na "Msomaji Mdogo Zaidi wa Enzi ya Dhahabu ya Usomaji".
Habari ID: 3480163 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/05
Fikra
IQNA - Wamagharibi wameanza kutambua upotevu wa maadili ya kiroho katika miongo kadhaa iliyopita, na kuwafanya kuanza kurejea katika mizizi yao kitamaduni, amesema mhadhiri mkuu katika Chuo cha Kiislamu cha London.
Habari ID: 3479194 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Jamii
IQNA – Warsha ya kimataifa ya mtandaoni inayoangazia changamoto ambazo usasa unaleta katika familia imeandaliwa na Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA).
Habari ID: 3479188 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
Chuki dhidi ya Waislamu
IQNA-Nchini Kanada mtu mwenye misimamo mikali kuwa wazungu ndio watu bora zaidi duniani aliyewaua watu wanne wa familia ya Kiislamu amepatikana na hatia ya ugaidi.
Habari ID: 3478399 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23
Qur'ani Tukufu
IQNA - Ndugu saba katika familia ya Misri wameweza kujifunza Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3478116 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mshindi katika kitengo cha 'Familia ya Qur'ani' ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Misri ametangazwa
Habari ID: 3478089 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amewasilisha sera jumla kuhusu familia ili zitekelezwe na vyombo vyote husika nchini Iran.
Habari ID: 3470547 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03
Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtunuku zawadi msichana Muirani mwenye umri wa miaka 8 aliyehifadhi kikamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2985092 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/15