iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wananchi wa Palestina wamekaribia sana kuuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza uliowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kushirikiana na Misri tokea mwaka 2007.
Habari ID: 3473968    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa ulinzi wa Iran amesema Wa palestina waliibuka ushindi hivi karibuni katika vita na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na imani yao kwa Mwenyezi Mungu kwa Allah SWT.
Habari ID: 3473965    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

Kamanda wa Kikosi cha QUDS cha IRGC
TEHRAN (IQNA) - Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuanza kutafakari kuondoka katika ardhi za Palestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3473962    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

Balozi Salah al Zawawi
TEHRAN (IQNA)-Balozi wa Palestina nchini Iran amesema kuwa, vita vya siku 12 vilivyomalizika hivi karibuni baina ya utawala wa Kizayuni na wanamapambano wa Palestina, vimefungua mlango wa kuangamizwa kikamilifu Israel.
Habari ID: 3473961    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumapili ataitembelea Misri kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa usalama nchi hiyo kuhusu mapatano yaliyofikishwa ya usitishwaji vita Ghaza.
Habari ID: 3473960    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA)- Sala ya Ijumaa imeswaliwa jana katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) ambapo inakadiriwa kuwa Wa palestina 40,000 walishiriki katika sala hiyo.
Habari ID: 3473959    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Masuala ya Kidini Malaysia Zulkifli Mohammad al Bakri amesema nchi yake inalenga kuanzisha mfuko maalumu wa kifedha maalumu kwa lengo la kuwasaidia Wa palestina .
Habari ID: 3473958    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA) – Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali jumla ya kiafya ya kiongozi wa harakati hiyo, Sayyid Hassan Nasrallah ni nzuri.
Habari ID: 3473954    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/28

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema nchi yake itatoa mchango wa dola milioni 500 kwa ajili ya ujenzi mpya wa Ukanda wa Ghaza baada ya vita vya hivi karibuni vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wa palestina aktika eneo hilo.
Habari ID: 3473950    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa hujuma dhidi ya maeneo matukufu katika mji wa Quds (Jerusalem) inaweza kupelekea kuibuka vita vya kieneo na kuangamizwa utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3473947    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/26

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya zimebaini kuwa chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia imeongezeka nchini Uingereza kwa asilimia 430 kati ya Mei 8-17 ikilinganishwa na wiki moja kabla na ongezeko hilo linatokana na hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina hasa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473946    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kufanya chokochoko na mashambulizi ya aina yoyote dhidi ya mji wa Quds (Jerusalem) na Msikiti Mtukufu wa al Aqsa mjini humo.
Habari ID: 3473942    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Ayatullah Ali Khamenei amejibu barua za viongozi wa harakati za mapambano ya kukomboa Palestina za Hamas na Jihad Islami akisisitiza kuwa: Nyoyo zetu ziko pamoja nanyi katika uwanja wa mapambano yenu, na hatimaye mtapata ushindi.
Habari ID: 3473941    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wanaendelea kusherekehea ushindi wa harakati za mapambano ya Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473940    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

TEHRAN (IQNA)- Hali ya taharuki imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.
Habari ID: 3473937    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/23

Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.
Habari ID: 3473936    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran usiku wa kuamkia leo imetoa taarifa rasmi ya kulipongeza taifa la Palesstina hasa wakazi mashujaa na wenye subira wa Ukanda wa Ghaza kwa kusimama imara mbele ya mashambulio ya kinyama ya Israel.
Habari ID: 3473935    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu na kuupongeza muqawama wa Palestina kwa ushindi wake katika vita vya siku 12 kati yake na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3473934    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

TEHRAN (IQNA)- Wa palestina jana usiku walimiminika mitaani kusherehekea usitishwaji vita katika Ukanda wa Ghaza baada ya utawala haramu wa Israel kushindwa kukabiliana na wimbi kubwa la makombora ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3473932    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

TEHRAN (IQNA)- Maandamano yamefanyika mjini Tehran kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala katili wa Israel dhidi ya Wa palestina wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473929    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/20