iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba nyota wa timu ya soka ya Manchester United ya Uingereza na mwenzake Ahmad Diallo jana walionekana wakiwa na bendera ya Palestina kwa ajili ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina wanaokabiliwa na hujuma na ukatili utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473926    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA)- Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema hali katika Ukanda wa Ghaza inamkumbusha kuhusu hali ilivyokuwa katika nchi yake wakati wa utawala wa mfumo katili wa ubaguzi wa rangi maarufu kama Apartheid.
Habari ID: 3473925    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IUMS) imetoa Fatwa inayobainisha kuwa, kuunga mkono Palestina ni jukumu la Kiislamu.
Habari ID: 3473922    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/18

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya na asasi za Kiislamu nchini Marekani zimesusa kuhudhuria dhifa ya kila mwaka ya Idul-Fitri inayoandaliwa na Ikulu ya White House kulalamikia uungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo kwa jinai za kinyama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina wakiwemo wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473920    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

TEHRAN (IQNA)-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa iko tayari kuwapokea na kuwapa matibabu bila malipo Wa palestina ambao wamejeruhiwa katika hujuma za kinyama za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473919    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

Hadi sasa Wa palestina karibu 218, wakiwemo watoto 58, wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Ghaza huku wengine zaidi ya 1,235 wamejurhiwa.
Habari ID: 3473918    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

Rais Iran katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki na kusisitiza kuwa kadhia ya Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya pamoja kwa umma wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3473917    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametuma ujumbe kwa lugha 15 akitaka dunia iwaunge mkono Wa palestina wanaokandamizwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473916    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu nchini Iran (Bunge) amesema kuwa moyo wa Umma wa Kiislamu unaendelea kudunda kwa ajili ya Palestina, na Umma na makundi ya mapambano dhidi ya Uzayuni yataendelea kusimama kidete na kutetea malengo ya ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473915    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi ya jana ilishuhudia siku ya sita tokea utawala wa Kizayuni wa Israel unazishe hujuma ya kinyama dhidi ya Wa palestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473914    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)-Raia Wa palestina 133, wakiwemo sita wa familia moja, wameuawa katika mashambulio ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ghaza.
Habari ID: 3473913    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/15

TEHRAN (IQNA)- Miaka 73 iliyopita, utawala bandia wa Israel ulitangaza uwepo wake baada ya kufanya mauaji makubwa ya umati dhidi ya Wa palestina . Siku hii inajulikana kama Siku ya Nakba.
Habari ID: 3473912    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/15

TEHRAN (IQNA)- Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapamabno ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limevurumisha mamia ya makombora katika miji ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusababisha hasara kubwa.
Habari ID: 3473909    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameutaka Umma wa Kiislamu na Kiarabu kufanya maandamano na mikutano ya kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa na watu wa Palestina.
Habari ID: 3473908    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya jana waliandamana katika mji mkuu, Nairobi na kubainisha uungaji mkono wao kwa Wa palestina ambao wanakabiliwa na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3473907    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Afya ya Ukanda wa Ghaza ilikuwa imetangaza kuwa, wananchi 87 wa Palestina wameshauawa shahidi kutokana na mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni.
Habari ID: 3473905    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wazayuni makatili na wauaji hawana uhusiano na dini yoyote ile.
Habari ID: 3473903    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Marjaa mkuu wa Kishia nchini Iraq kwa mara nyingine tena ametangaza uungaji mkono wake kwa 'mapambano ya kishujaa ya taifa lenye heshima la Palestina' katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu na kutoa wito kwa mataifa yote huru duniani kuwaunga mkono Wa palestina .
Habari ID: 3473902    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Mabalozi wa kudumu wa nchini wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) katika Umoja wa Mataifa wametangaza azma yao ya kuhamisisha jamii ya kimataifa iunge mkono taifa la Palestina ambalo linakabiliwa na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473899    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemwandikia barua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kumjulisha matukio na mabadiliko yanayojiri katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473894    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10