iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapamabno ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limevurumisha mamia ya makombora katika miji ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusababisha hasara kubwa.
Habari ID: 3473909    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameutaka Umma wa Kiislamu na Kiarabu kufanya maandamano na mikutano ya kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa na watu wa Palestina.
Habari ID: 3473908    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya jana waliandamana katika mji mkuu, Nairobi na kubainisha uungaji mkono wao kwa Wa palestina ambao wanakabiliwa na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3473907    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Afya ya Ukanda wa Ghaza ilikuwa imetangaza kuwa, wananchi 87 wa Palestina wameshauawa shahidi kutokana na mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni.
Habari ID: 3473905    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wazayuni makatili na wauaji hawana uhusiano na dini yoyote ile.
Habari ID: 3473903    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Marjaa mkuu wa Kishia nchini Iraq kwa mara nyingine tena ametangaza uungaji mkono wake kwa 'mapambano ya kishujaa ya taifa lenye heshima la Palestina' katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu na kutoa wito kwa mataifa yote huru duniani kuwaunga mkono Wa palestina .
Habari ID: 3473902    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Mabalozi wa kudumu wa nchini wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) katika Umoja wa Mataifa wametangaza azma yao ya kuhamisisha jamii ya kimataifa iunge mkono taifa la Palestina ambalo linakabiliwa na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473899    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemwandikia barua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kumjulisha matukio na mabadiliko yanayojiri katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473894    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya nchi za Kiarabu (Arab League) imeamua kuitisha kikao cha dharura kwa lengo la kuchukua maamuzi kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia ombi la Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
Habari ID: 3473893    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Sheikh mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kulaani ‘ugaidi wa Kizayuni’ baada ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwahujumu Wa palestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds.
Habari ID: 3473892    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo pia ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Quds ilishuhudia hujuma mpya askari wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti Mtakatifu wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473891    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa katika mji wa Quds (Jerusalem). na kuwapiga kikatili Wa palestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wa palestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3473890    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa wakati Wa palestina walipokuwa katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3473887    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/08

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, harakati ya kuporomoka na kutoweka utawala wa Kizayuni imeanza na haitasimama; na akawahutubu Mujahidina wa Palestina kwa kuwaambia: "Endelezeni mapambano halali dhidi ya utawala ghasibu ili ulazimike kukubali kura ya maoni."
Habari ID: 3473886    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakaribia mwisho wa uhai wake.
Habari ID: 3473885    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07

TEHRAN (IQNA)- Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 inaadhimishwa huku kukiwa kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za hararkati za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.
Habari ID: 3473882    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06

TEHRAN (IQNA)- , Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa Ijumaa na kusema: "Wiki hii tuna Siku ya Quds. Hii ni siku ambayo ni fakhari kwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kati ya wosia wa Imam Khomeini (MA).
Habari ID: 3473880    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05

TEHRAN (IQNA) -Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wa palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473877    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04

TEHRAN (IQNA)- Mwaka huu hakutafanyika maandamano au mijumuiko ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473872    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/03

TEHRAN (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel unajaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) hatua ambayo imekabiliwa na tahadhari kutoka kwa makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473853    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27