TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya nchi za Kiarabu (Arab League) imeamua kuitisha kikao cha dharura kwa lengo la kuchukua maamuzi kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia ombi la Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
Habari ID: 3473893 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09
TEHRAN (IQNA)- Sheikh mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kulaani ‘ugaidi wa Kizayuni’ baada ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwahujumu Wa palestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds.
Habari ID: 3473892 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09
TEHRAN (IQNA)- Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo pia ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Quds ilishuhudia hujuma mpya askari wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti Mtakatifu wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473891 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09
TEHRAN (IQNA)- Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa katika mji wa Quds (Jerusalem). na kuwapiga kikatili Wa palestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wa palestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3473890 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa wakati Wa palestina walipokuwa katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3473887 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/08
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, harakati ya kuporomoka na kutoweka utawala wa Kizayuni imeanza na haitasimama; na akawahutubu Mujahidina wa Palestina kwa kuwaambia: "Endelezeni mapambano halali dhidi ya utawala ghasibu ili ulazimike kukubali kura ya maoni."
Habari ID: 3473886 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakaribia mwisho wa uhai wake.
Habari ID: 3473885 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07
TEHRAN (IQNA)- Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 inaadhimishwa huku kukiwa kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za hararkati za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.
Habari ID: 3473882 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA)- , Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa Ijumaa na kusema: "Wiki hii tuna Siku ya Quds. Hii ni siku ambayo ni fakhari kwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kati ya wosia wa Imam Khomeini (MA).
Habari ID: 3473880 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05
TEHRAN (IQNA) -Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wa palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473877 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04
TEHRAN (IQNA)- Mwaka huu hakutafanyika maandamano au mijumuiko ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473872 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/03
TEHRAN (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel unajaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) hatua ambayo imekabiliwa na tahadhari kutoka kwa makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473853 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27
TEHRAN (IQNA)- Kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani kumekwenda sambamba na kuanza duru mpya ya mivutano baina ya Wa palestina na Wazayuni huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ambapo Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetoa mwito wa kufanyika Intifadha ya Quds.
Habari ID: 3473852 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/26
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa kulaani hatua za kijinai walizofanyiwa hivi karibuni wananchi wa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na kusisitiza mshikamano wake na taifa tukufu la Palestina.
Habari ID: 3473844 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, Quds (Jerusalem) haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya utawala haramu wa Israel na siasa zake za ubaguzi.
Habari ID: 3473843 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/23
TEHRAN (IQNA)- Kadhia ya wafungwa Wa palestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni kipaumbele kwa watu wa Palestina.
Habari ID: 3473830 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Israel zimetekeleza mashambulizi ya angani na nchi kavu dhidi ya eneo la Ukanda wa Ghaza mapema leo asubuhi.
Habari ID: 3473819 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/16
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.
Habari ID: 3473816 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15
TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wa palestina ambao walikuwa wakiandamana katika Ukingo wa Magharibi kupinga ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3473766 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/28
TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa ufalme wa Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina
Habari ID: 3473761 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/25