Kiongozi wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Wa palestina na harakati zao za muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474259 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema ufalme wa Bahrain kweli umeonyesha kuhusika kwake katika jinai zinazofanywa na utawala wa haramu wa Israeli dhidi ya Wa palestina kwa kumteua balozi wake wa kwanza kuhudumu katika utawala wa Israel.
Habari ID: 3474250 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya kuwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia.
Habari ID: 3474249 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala dhalimu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474246 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01
TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa mwaka huu wa 2021, Utawala wa Kizayuni wa Israeli umewakamata Wa palestina wasiopungua 1,900, pamoja na idadi kubwa ya watoto, kote mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474241 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/30
TEHRAN (IQNA)- Ndege za kivita zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni wa Israeli zimetekeleza mashambulio ya angani kati mwa Ukanda wa Gaza
Habari ID: 3474236 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/29
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza udharura wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kutumia suhula na nyenzo zote.
Habari ID: 3474228 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26
TEHRAN (IQNA)-Kumekuwa na ongezeko la asilimia 60 ya idadi ya walowezi wa Kizayuni wanaouhujumi uwanja wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), unaokaliwa kwa mabavu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3474225 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi usiku, ndege za kivita za utawala Israel zilishambulia kwa mabomu maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza ambapo Wa palestina wapatao 41 wamejeruhiwa, wawili wao wakiwa na majeraha makali.
Habari ID: 3474215 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mwito kwa Wa palestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio chungu la kuteketezwa moto msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3474210 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala haramu wa Israel wamewaua shahidi vijana wanne Wa palestina kwa kuwapiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474195 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16
TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wake juu ya kampeni ya utawala wa Israeli ya kuwakamata, kuwatesa na kuwakandamiza watetezi wa haki za binadamu wa Palestina kote Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474187 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13
TEHRAN (IQNA)- Katika safari yake ya kwanza nchini Morocco tangu nchi hiyo ya Kiafrika ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala huo ghasibu amefungua rasmi ofisi za ubalozi wa utawala huo mjini Rabat.
Habari ID: 3474185 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel nchini Morocco na kubainisha kuwa, ziara hiyo haikubaliki.
Habari ID: 3474182 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali kikao cha wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Harakati ya Ukombozi ya Palestina (PLO), mawaziri na maafisa wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na viongozi wa utawala haramu wa Israel chenye lengo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474168 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07
TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na walowezi wa Kizayuni walikiuka haki za Wa palestina katika zaidi ya mara 3,800 mwezi Julai katika katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mjini al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474162 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wote Wa palestina inaowashikilia na kufunga faili lao.
Habari ID: 3474161 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05
TEHRAN (IQNA)- Nchi 14 za Afrika zimetangaza msimamo imara wa kupinga utawala wa haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika
Habari ID: 3474149 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01
TEHRAN (IQNA)- Nchi kadhaa za Afrika zinaendelea kupinga hatua ya utawala haramu wa Israel kuidhinishwa kuwa ‘mwanachama mwangalizi’ wa Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474140 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mashambulio yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita vya siku 11 dhidi ya Ukanda wa Ghaza yalifikia kiwango cha jinai za kivita.
Habari ID: 3474134 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/28