iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani hujuma za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474353    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo mapambano na muqawama ni upanga na ngao ya wananchi wa Palestina na kwamba, taifa la Palestina limeazimia na kukusanya nguvu zake kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake.
Habari ID: 3474345    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala dhalimu wa Israel wamemuua M palestina aliyekuwa katika maandamani ya amani ya kupinda ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474342    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25

TEHRAN (IQNA)- Maandamano yanafanyika maeneo mbali mbali duniani kulitaka shirika la Ujerumani la mavazi la michezo la Puma kusitisha uungaji mkono kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.
Habari ID: 3474334    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umefunga Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) ulio katika eneo Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, linalokaliwa kabavu na utawala huo ghasibu, kwa lengo la kutekeleza hafla ya Kizayuni-Kiyahudi katika eneo hilo.
Habari ID: 3474325    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22

Ripoti
TEHRAN (IQNA0- Mateka 6 wa Ki palestina wametoa pigo kali kwa hadhi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa hatua yao ya kuchimba njia ya chini ya ardhi iliyopewa jina la "Handaki ya Uhuru".
Habari ID: 3474323    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine imelaani vikali mkataba wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya madola ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474315    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19

TEHRAN (IQNA) - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474305    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA)- Umepita mwaka mmoja tangu kulipotiwa saini makubaliano baina ya utawala haramu wa Israel na nchi mbili za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain, ambapo mataifa hayo ya Kiarabu yaliafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474304    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA)- Tawi la chama cha pili kwa ukubwa cha wafanyikazi wakubwa nchini Marekani, Shirikisho la Walimu la Marekani (AFT), limelaani utawala ghasibu wa kijeshi wa Israeli na sera zake "ubaguzi wa rangi."
Habari ID: 3474301    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel ijumaa walivamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wakati Wa palestina walipokuwa wakiandamana kubainisha kufungamana na wenzao wanaoteswa katika jela za Israel.
Habari ID: 3474281    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria, Fethi Nourine (Fat-hi Nurin), ambaye alifadhilisha kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya Tokyo kuliko kucheza na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel, bado anaendelea kugonga vichwa vya habari.
Habari ID: 3474278    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA)- Mateka Wa palestina wameteketeza moto jela mbili za utawala wa Kizayuni wa Israel wanakoshikiliwa kulalamikia hali mbaya katika vizuizi hivyo vya kuogofya.
Habari ID: 3474276    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA)- Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametahadharisha kwamba, hali ya Ukanda wa Gaza inakaribia kuripuka na yameupa utawala wa Israel siku 15 kuruhusu bidhaa muhimu kwa ajili ya raia wa Palestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3474274    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ,kwa kifupi Hamas, katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wa palestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
Habari ID: 3474263    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

Kiongozi wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Wa palestina na harakati zao za muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474259    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema ufalme wa Bahrain kweli umeonyesha kuhusika kwake katika jinai zinazofanywa na utawala wa haramu wa Israeli dhidi ya Wa palestina kwa kumteua balozi wake wa kwanza kuhudumu katika utawala wa Israel.
Habari ID: 3474250    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02

TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya kuwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia.
Habari ID: 3474249    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala dhalimu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474246    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01

TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa mwaka huu wa 2021, Utawala wa Kizayuni wa Israeli umewakamata Wa palestina wasiopungua 1,900, pamoja na idadi kubwa ya watoto, kote mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474241    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/30