iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Itikadi ya Uwahhabi imetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la ugaidi na chuki dhidi ya Uislamu Nigeria.
Habari ID: 3471240    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/31

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Jimbo la Sokoto nchini Nigeria imezijumuisha madrassah 4,000 za Qur'ani katika mfumo rasmi wa elimu.
Habari ID: 3471168    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12

TEHRAN (IQNA)-Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita nchini Nigeria amewashangaza wengi kwa kufanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kwa kipindi cha chiniya mwaka moja.
Habari ID: 3471107    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/06

TEHRAN (IQNA)- Mahakama katika mji wa Kaduna nchini Nigeria imetupilia mbali lalamiko lililowasilishwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu kuhusu hatua ya jeshi la nchi hiyo kukiuka haki za binadamu.
Habari ID: 3471056    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran ametaka vyombo vya mahakama nchini viwatetee Waislamu wanaodhulumiwa duniani
Habari ID: 3471049    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/04

TEHRAN (IQNA)-Polisi nchini Nigeria kwa mara nyingine tena wamtumia gesi ya kutoa machozi kuhujumu maandamano ya amani ya Waislamu katika mjimkuu Abuja.
Habari ID: 3470939    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/18

Askofu Mkuu nchini Nigeria
TEHRAN (IQNA)-Askofu Mkuu wa Nigeria amesisitiza udharura wa kufanyika mazungumzo kati ya wafuasi wa dini za mbinguni na kusema kuwa, ni muhimu sana kuzitofautisha na dini ya Uislamu fikra za kigaidi kama zile za kundi la Boko Haram.
Habari ID: 3470908    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/26

IQNA: Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imetahadharisha kuwa kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky huenda akapoteza uwezo wa kuona na kuwa kipofu akiwa kizuizini.
Habari ID: 3470849    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/14

IQNA: Mahakama ya Rufaa katika jimbo la Lagos nchini Nigeria imetoa hujumu ya kupinga amri ya serikali ya jimbo hilo kupiga marufuku vazi la Hijabu kuvaliwa na washichana Waislamu shuleni.
Habari ID: 3470840    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/08

IQNA-Mashindano ya 31 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Nigeria yameanza Ijumaa katika mji wa Ilorin jimboni Kwara magharibi mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470833    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04

IQNA- Polisi nchini Nigeria wamewavurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamnaji waliokuwa wakimuunga kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria.
Habari ID: 3470815    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26

IQNA-Magiadi wakufurishaji wa Boko Harm wamekithirisha kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.
Habari ID: 3470810    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/24

IQNA-Shirika la kutetea haki za binadmau la Amanesty International limeitaka serikali ya Nigeria kumuachulia huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470799    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16

IQNA-Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameitaka serikali ya nchi hiyo kumuachilia huru kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470775    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/02

IQNA-Duru kutoka Nigeria zinadokeza kuwa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amehamishiwa sehemu isiyojulikana nchini humo.
Habari ID: 3470735    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/11

IQNA-Serikali ya Nigeria imeiamuriwa na mahakama kumuachilia huru mara moja Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470709    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/02

IQNA-Utawala wa kiimla Nigeria umeendeleza ukandamizaji dhidi ya Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo kwa kubomoa vituo kadhaa kadhaa ya harakati hiyo.
Habari ID: 3470686    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/20

Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeitaka serikali ya Nigeria kutoa maelezo kuhusu mauaji yaliyofanywa mwaka jana na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.
Habari ID: 3470683    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/18

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mauaji ya Waislamu waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS kaskazini mwa Nigeria
Habari ID: 3470677    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/15

Katika msafara ya Arubaini ya Imam Hussein AS
IQNA- Jeshi la Nigeria limeua Waislamu zaidi ya100 wa madhehebu ya Shia kwa kuwapiga risasi kiholela kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470676    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14