TEHRAN (IQNA)- Maeneo maalumu ya swala yametengwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ) kwa ajili ya walemavu.
Habari ID: 3473673 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/22
IQNA-Tafsiri ya Qur’ani Tukufu ya lugha ya ishara kwa ajili ya viziwi imezinduliwa katika Maonyesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati)
Habari ID: 3470672 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/12