iqna

IQNA

Miujiza ya Qur'ani
IQNA - Wanachuoni na wanafikra waliohudhuria mkutano huko Cairo juu ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani na Sunnah wamesitiza kwamba miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukkufu imethibitishwa na sayansi ya kisasa.
Habari ID: 3479652    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27

IQNA - Kongamano la kimataifa la Muujiza wa Kisayansi Ndani ya Qur'an na Sunna za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) limepangwa kufanyika nchini Misri baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3479642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25

Qurni Tukufu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema Qur'ani Tukufu ina miujiza mingi ya kisayansi ambayo imewashangaza wanasayansi katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3479601    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/16

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /47
TEHRAN (IQNA) – Mitume wa Mwenyezi Mungu, walipokabiliana na makundi mbalimbali ya watu waliokuwa na mashaka juu ya utume wao, walifanya mambo ya ajabu sana yaitwayo miujiza.
Habari ID: 3477584    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tano la semina kuhusu miujiza ya kimatibabu ya Qur'ani Tukufu ilianza katika Mji wa Gaza.
Habari ID: 3476710    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Sura za Qur’ani Tukufu /5
TEHRAN (IQNA) – Sura tofauti za Qur’an zinarejelea kuzaliwa, maisha, miujiza, na maadui wa Nabii Isa (Yesu)-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake Sura ya tano ya Qur’ani inaashiria miujiza ya nabii huyu wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475328    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 23 la Ijaz (miujiza) katika Qur'ani Tukufu na Sunna ya Mtume SAW limefanyika wiki hii nchini Misri.
Habari ID: 3470923    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08

IQNA-Duru ya tano ya mkutano wa kimataifa wa 'Upeo wa Miujiza ya Qur'ani Tukufu' umepengwa kufanyika mwezi Aprili nchini Misri.
Habari ID: 3470761    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26