iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika hafla ya pamoja ya wanachuo wahitimu wa Vyuo Vikuu vya vikosi vya ulinzi nchini Iran kwamba ghasia na machafuko yaliyoshuhudiwa hivi karibuni hapa nchini yaliratibiwa na Marekani na utawala ghasibu na bandia wa Kizayuni na kusaidiwa kwa hali na mali na mabwana zao na baadhi ya wasaliti raia wa Iran wanaoishi nje ya nchi.
Habari ID: 3475872    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ina nguvu na uthabiti kuliko wakati wowote ule, na kwamba taifa hili litavuka salama mtihani wa sasa kutokana na hekima ya viongozi wake.
Habari ID: 3475867    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Usalama ya Iran imesema Marekani na Uingereza zilichochea ghasia zilizoshuhudiwa hivi karibuni kote Iran.
Habari ID: 3475864    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia wa Iran amelaani uenezaji wa chuki dhidi ya Uislamu unaofanywa na baadhi ya nchi za Magharibi na vile vile ubaguzi wa aina yoyote dhidi ya madhehebu ya dini za waliowachache, hususan Waislamu.
Habari ID: 3475828    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Msomi mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran anasema matatizo mengi ya ulimwengu wa Kiislamu yanatokana na masuala ya kisiasa kati ya nchi.
Habari ID: 3475827    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Leo Alkhamisi tarehe 25 Safar 1444 Hijria sawa na 22 Septemba 2022 inayosadifiana na 31 Shahrivar 1431 Hijria Shamsiya inaadhimishwa kama kama mwanzo wa 'Wiki ya Kujihami Kutakatifu'
Habari ID: 3475825    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kituo cha Masuala ya Qur'ani cha Shirika la Wakfu na Misaada la Iran ameeleza kushiriki kwa wananchi wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa pamoja katika mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni dhihirisho la umoja wa Kiislamu nchini.
Habari ID: 3475813    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Iran na jamii ya kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran amesema hana mpango wa kukutana au kufanya mazungumzo na mwenzake wa Marekani, Joe Biden katika safari yake ya New York, anayotazamiwa kwenda kushiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA).
Habari ID: 3475804    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa Kazakhstan Sheikh Nauryzbay Kazhy Taganuly amepongeza nafasi ya kimkakati ya Iran katika kukuza mazungumzo kati ya dini mbali mbali.
Habari ID: 3475789    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Mapambano ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya al-Umma ya Lebanon Sheikh Abdullah al-Jabri amepongeza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3475779    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13

Iran na Eneo
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vipengee vya taarifa ya kikao cha mawaziri wa mambo ya nje wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475754    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Elimu katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Wawakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa na Chuo Kikuu cha Kampala cha Uganda wametia saini Mkataba wa Maelewano unaolenga kuboresha ushirikiano wa kielimu baina ya nchi hizo mbili.
Habari ID: 3475746    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/07

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya awali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itafanyika katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3475736    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria majaribio ya maadui ya kutaka kuleta mgawanyiko baina ya Waislamu na kuwasilisha taswira potovu ya kuuonyesha Uislamu kuwa ni dini ya ghasia na mapigano na kusema kuna haja ya kutilia mkazo juu ya umoja wa makundi ya Kiislamu na juhudi za kuutambulisha Uislamu wa kweli.
Habari ID: 3475724    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Muungano wa Jamhuri za Kisoshalisti za Sovieti (Union of Soviet Socialist Republics, USSR) alifariki dunia Agosti 30 2022 katika hospitali moja mjini Moscow, Russia akiwa na umri wa miaka 91 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3475719    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ahlul Bayt AS- yaani watu wa nyumba ya Mtume Muhammad SAW, ni ufungu wa Umoja wa Kiislamu na chimbuko la matumaini katika jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3475717    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Mgogoro wa kisiasa Iraq
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ilitoa tamko kuhusiana na matukio ya hivi majuzi nchini Iraq na kusisitiza kuwa: "Tehran daima inataka Iraq yenye utulivu, salama na yenye nguvu."
Habari ID: 3475708    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: katika matukio yote yaliyojiri, wananchi wamekuwa ndio "mashujaa wakuu wa historia ya Mapinduzi" na ukweli huo unatoa somo na mazingatio na kuwaonyesha viongozi wote ni namna gani inapasa waamiliane na wananchi hao.
Habari ID: 3475703    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30