Kwa mnasaba wa kufikiwa mapatano ya JCPOA
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametuma ujumbe kwa mnasaba wa mwaka wa tano wa kufikiwa mapatano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) na kusema: "Kitendo cha Marekani cha kudhalilisha sheria na udiplomasia ni jambo linalohatarisha usalama wa nchi hiyo na dunia kwa ujumla mbali na kuchafua jina la Washington katika uga wa kimataifa."
Habari ID: 3472962 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuendesha nchi hii bila ya kutegemea sana pato la mauzo ya mafuta ni kielelezo cha nguvu kubwa ya Iran katika medani ya vita vya kiuchumi.
Habari ID: 3472961 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema adui amepoteza matumaini kutokana na namna taifa la Iran linavyokabiliana na kila harakati dhidi ya mfumo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472957 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya qarii maarufu wa Misri marhum Sheikh Sayed Mutawalli Abdul Aal katika mji wa Tabriz, Iran imesambazwa katika mitandao ya intaneti hivi karibuni.
Habari ID: 3472951 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA) -Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kusema urongo na kueneza chuki ni viungo muhimu katika sera za kigeni za Marekani.
Habari ID: 3472946 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
Zarif akihutubu katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, wizara yake inatekeleza mkakati wa kusambaratisha njama za kiuchumi za Markeani dhidi ya Iran.
Habari ID: 3472930 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05
TEHRAN (IQNA) – Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jukumu la kidini kwa kila mtu kutangaza iwapo ameambukizwa kirusi cha corona (COVID-19) ili kuzuia maambukizi kwa wengine.
Habari ID: 3472929 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/04
TEHRAN (IQNA) - Miaka 38 iliyopita kulijiri tukio la kutekwa nyara wanadiplomasia wanne wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Lebanon.
Habari ID: 3472928 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/04
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.
Habari ID: 3472922 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) katika mauaji ya watu wa Iran.
Habari ID: 3472909 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, matokeo ya mashinikizo ya maadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu yatakuwa ni kuchezea kipigo maadui hao kutoka kwa taifa la Iran na kulazimika kurudi nyuma.
Habari ID: 3472905 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27
TEHRAN (IQNA) – Nakala nadra ya kale ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa Iran katika karatasi ya Kichina imeuzwa kwa pauni za Uingereza milioni saba katika mnada mjini London
Habari ID: 3472904 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Iran amesema wa iran i ambao walikuwa wamejisajili kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu watahiji mwakani, Inshallah, baada ya Saudia kutangaza kufuta ibada ya Hija mwaka huu kwa wasafiri wa kimataifa.
Habari ID: 3472894 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema moja ya fahari za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa inawaruhusu wanawake waendeleze harakati zao katika sekta mbali mbali.
Habari ID: 3472893 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24
TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran haijaafiki pendekezo la mashindano hayo kufanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472886 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa kauli baada ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kupitisha azimio dhidi ya Iran na kusema: "Nchi za Magharibi na hasa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa mara nyingine tena zimedhihirisha utambulisho wao hasimu na wa kutoaminika mbele ya taifa la Iran."
Habari ID: 3472884 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21
TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeunga mkono kikao maalumu cha Baraza la Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa ambacho kimeitishwa kujadili ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Habari ID: 3472875 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ‘kubinya shingo kwa kutumia goti’ ni sera ya daima ya Marekani na kuongeza kuwa: “Katika kipindi chote cha historia, Marekani imekuwa ikitumia sera hiyo kukandamiza madhulumu.
Habari ID: 3472854 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole kufuatia kuaga dunia Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadu Islami ya Palestina, Ramadhan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472847 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/08