TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Iran amesema wa iran i ambao walikuwa wamejisajili kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu watahiji mwakani, Inshallah, baada ya Saudia kutangaza kufuta ibada ya Hija mwaka huu kwa wasafiri wa kimataifa.
Habari ID: 3472894 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema moja ya fahari za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa inawaruhusu wanawake waendeleze harakati zao katika sekta mbali mbali.
Habari ID: 3472893 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24
TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran haijaafiki pendekezo la mashindano hayo kufanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472886 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa kauli baada ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kupitisha azimio dhidi ya Iran na kusema: "Nchi za Magharibi na hasa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa mara nyingine tena zimedhihirisha utambulisho wao hasimu na wa kutoaminika mbele ya taifa la Iran."
Habari ID: 3472884 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21
TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeunga mkono kikao maalumu cha Baraza la Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa ambacho kimeitishwa kujadili ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Habari ID: 3472875 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ‘kubinya shingo kwa kutumia goti’ ni sera ya daima ya Marekani na kuongeza kuwa: “Katika kipindi chote cha historia, Marekani imekuwa ikitumia sera hiyo kukandamiza madhulumu.
Habari ID: 3472854 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole kufuatia kuaga dunia Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadu Islami ya Palestina, Ramadhan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472847 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/08
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria ujumbe wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ametoa pendekezo la kufanyika duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia na Tehran na kusisitiza kuwa, mapambano ya Kiislamu au muqawama ndio njia pekee ya kumshinda adui.
Habari ID: 3472843 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutumia kitabu cha Biblia kwa ajili ya kuhalalisha jinai na ukatili wa serikali yake na kuwahadaa Wamarekani.
Habari ID: 3472836 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu- yanafanana na ya Mitume- Mwenyezi Mungu Awarehemu- na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.
Habari ID: 3472834 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04
TEHRAN (IQNA) - Tarehe 14 Khordad sawa na tarehe 3 Juni, kulitangazwa habari ya huzini ya kuaga duniani Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472831 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema yanayojiri siku hizi Marekani yameweka wazi ukweli uliokuwa umefichwa nchini humo kuongeza kuwa: "Wamarekani wamefedheheka duniani kutokana na mienendo yao."
Habari ID: 3472830 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, watawala wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.
Habari ID: 3472829 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hatua mpya zilizochukuliwa na Marekani za kuuwekea vikwazo ushirikiano wa kimataifa wa nyuklia baina ya Iran na pande nyingine na kusema kuwa kitendo hicho kinavunja waziwazi azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3472821 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31
TEHRAN (IQNA) – Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misikiti yote nchini itafunguliwa kwa ajili ya swala zote.
Habari ID: 3472820 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31
TEHRAN (IQNA) - Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa nchi za Kiislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472818 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30
TEHRAN (IQNA) - Mohammad Bagher Qalibaf amechaguliwa kuwa spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran. Kikao cha kumchagua spika wa bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu kimefanyika Alhamisi asubuhi.
Habari ID: 3472810 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ametuma salamu za pongezi katika sherehe za kuanza awamu ya 11 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, na kusema kwa mara nyingine, demokrasia ya Kiislamu imeonyesha mvuto wake duniani.
Habari ID: 3472807 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Habari ID: 3472802 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26
TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wameshiriki katika swala ya Idul Fitr baada ya kukamilisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472797 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24