TEHRAN (IQNA) - Swala ya Ijumaa imeswaliwa kusaliwa hii leo katika miji mikubwa na midogo ipatayo 157 na mikoa 21 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baada ya kusitishwa tokea mapema mwezi Machi mwaka huu kutokana na mripuko wa ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472745 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08
Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Japan
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hakuna njia nyingine ya kukabiliana kwa mafanikio na corona isipokuwa kushirikiana nchi zote"
Habari ID: 3472737 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05
TEHRAN (IQNA) - Vikao vya qiraa ya Qur'ani Tukufu vinafanyika katika hospitali na vituo vya tiba katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472734 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misikiti iliyokuwa imefungwa kuzuia kuenea corona (COVID-19) nchini itafunguliwa katika 'maeneo meupe', yaani maeneo ambayo hatari ya kuenea corona ni ndogo.
Habari ID: 3472732 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04
Spika wa Bunge la Iran
THERAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema katika kadhia ya ugonjwa wa corona (COVID-19), ubinadamu umeporomoka na kadhia hii inatazamwa kibiashara.
Habari ID: 3472729 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472725 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua ya chuki ya serikali ya Ujerumani ya kuiita Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi na kusema kwamba, uamuzi huo unahudumia malengo ya utawala haramu wa Israel na Marekani.
Habari ID: 3472721 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaaduni cha Jamhuri ya Kiislamu Iran nchini Tunisia kimeandaa mafunzo ya usomaji Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472716 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiisamu ya Iran vilitoa taarifa na kuonya kwamba: Kuundwa miungano ya urongo kwa uongozi wa Marekani kwa kizingizio eti cha kusimamia usalama wa meli ni hatua ya hatari na wakati huo huo inavuruga amani na usalama wa eneo.
Habari ID: 3472712 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28
Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA)- Marais wa Iran na Afrika Kusini wamesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja za biashara na uchumi na pia wakasema kuna udharura wa kubadlishana uzoefu katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona sambamba kuboresha ushirikiano wa kiafya na kisayansi.
Habari ID: 3472711 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mujahidi na mwanamapinduzi marhum Ayatullah Ibrahimi Amini ambaye pia alikuwa mwanachama wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu.
Habari ID: 3472702 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haiitakuwa muanzishaji wa taharuku na mapigano katika eneo."
Habari ID: 3472701 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Ibrahimi Amini mwanazuoni maarufu, mwakilishi wa watu wa Tehran katika Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu na mwanachama wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran ameaga dunia na kurejea kwa Mola wake baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3472700 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu wa kulishukuru na kulipongeza utendaji kazi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC.
Habari ID: 3472692 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/22
IRGC imerusha satalaiti iliyoandikwa aya ya Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limerusha kwa mafanikio satalaiti ya kwanza ya kijeshi ya Iran katika anga za mbali.
Habari ID: 3472691 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/22
TEHRAN (IQNA)- Rais Bashar la Assad wa Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif mjini Damascus ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya pande mbili, kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3472683 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20
Vita dhidi ya janga la corona
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima hulinda kiwango cha uwezo wake wa kiulinzi na kumzuia adui na wakati huo huo huwa pamoja na wananchi wakati wa maafa au majanga na huwasaidia katika kutatua matatizo yao.
Habari ID: 3472673 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17
Kwa mara ya kwanza duniani
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara ya kwanza duniani, Jamhuri ya Kislamu ya Iran imevumbua kifaa chenye uwezo wa kugundua mwili na sehemu kilipo kirusi cha corona katika umbali wa mita 100 tena katika kipindi cha sekunde chache tu. Kifaa hicho kimepewa jina la "Musta'an 110."
Habari ID: 3472670 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/16
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Qatar kuhusu matukio ya hivi karibuni kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3472663 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13
Kiongozi Muadhamu katika hotuba ya Idi ya Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio la kina na pana la mwanadamu wa leo la kuwa na mkombozi halina kifani katika historia.
Habari ID: 3472649 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09