Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameainisha malengo ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuifanya Iran kuwa na nguvu, heshima na huru na kusema kuwa vyuo vikuu ni msingi mkuu wa kufanikisha malengo hayo.
Habari ID: 3470398 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/19
Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran mwaka huu yameshuhudia ongezeko la washiriki kutoka nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3470396 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.
Habari ID: 3470389 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/15
Waziri wa Utamaduni na Muongozi wa Kiislamu Iran Ali Jannati amefungua Maoneysho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran Jumatatu usiku.
Habari ID: 3470385 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/14
Qarii wa Mu iran i Medhi Gholamnejad Jumamosi alionyesha ustadi wake katika kusoma Qur'ani Tukufu katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470379 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/12
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote Iran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470375 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, umaridadi na ujamali uliomo katika maneno ya Qur'ani Tukufu ni muujiza na ni mlango wa kuvutiwa na mafundisho aali na yenye maana pana ya aya hizo.
Habari ID: 3470368 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08
Rais wa Iran katika ujumbe wa Ramadhani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kushirikiana ili kukabiliana kukabiliana na wale misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3470366 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/07
Baadhi ya nchi za Kiarabu zimetangaza tarehe 6 Juni kuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470361 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/06
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani ndio muungaji mkono mkubwa zaidi wa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya kigaidi duniani.
Habari ID: 3470360 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haiwezi kuaminika na hivi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.
Habari ID: 3470356 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/03
Ijumaa hii Wa iran i na wapenda haki duniani wanakumbuka siku ya kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye alikuwa na nuktaa za kipekee katika uongozi wake.
Habari ID: 3470353 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/02
Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yanatazamiwa kuanza mjini Tehran katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3470349 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/31
Saudi Arabia imeweka vizingiti na kuwazuia wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470344 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/29
Idara ya Utamaduni ya Iran nchini Uganda imefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Kitaifa ya Uganda, UBC.
Habari ID: 3470342 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.
Habari ID: 3470340 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/27
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amemzawadia Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei nakala ya kale ya Qur'ani inayonasibishwa na Imam Ali Ali AS.
Habari ID: 3470333 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Molawi Abdul Hamid Ismail Zehi, Imamu wa Msikiti wa Masunii wa Makki mjini Zahedan kusini mashariki mwa Iran amesema hatua ya Saudia kuwazuia Mahujaji Wa iran i mwaka huu si kwa maslahi ya Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3470330 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ametoa wito kwa Waislamu kukabiliana na magaidi wakufurishaji pamoja na serikali vibaraka ambazo zinapata uungaji mkono wa Marekani na Utawala wa Kizayuni katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470322 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/20