iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa wasomi wa kidini kushiriki kilamilifu katika mambo yote yanayohusu nchi na jamii
Habari ID: 3470313    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15

Hafidh wa Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema kuwaleta pamoja wanaharakati wa Qur'ani kutoka kila kona ya dunia ni nukta muhimu katika kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470312    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14

Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13

Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usalama katika jamii una nafasi muhimu katika ustawi wa kiuchumi.
Habari ID: 3470301    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, jukumu muhimu kabisa la Umma wa Kiislamu ni kukabiliana na harakati ya ujahiliya inayoongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470295    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/05

Mikutano wa "Wanafunzi Waislamu, Dunia Isiyo na Machafuko" na mwingine wa "Nafasi ya Wasomi wa Utamaduni Katika Ulimwengu wa Kiislamu ili Kufikia Dunia Isiyo na Machafuko" imepangwa kufanyika wiki ijayo nchini Senegal.
Habari ID: 3470292    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa uhusiano imara na usioweza kuathiriwa na vikwazo na uhasama wa Marekani baina ya Iran na Korea Kusini.
Habari ID: 3470289    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia wajibu wa kulelewa kizazi cha vijana wa Iran katika msingi wa kuwafanya wajitegemee na wapende kuwa na heshima ya kidini na kusimama imara kupambana na madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470287    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yanataka kulidhibiti eneo la Magharibi mwa Asia kupitia vita vikubwa na vipana dhidi ya mrengo wa Uislamu.
Habari ID: 3470283    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Saudia inaweka vizuizi ili Wa iran i wasishiriki katika ibada ya Hija ya mwaka huu.
Habari ID: 3470278    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/29

Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu utafanyika wiki ijayo Tehran, mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470275    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/27

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kufikiwa bila ya kuwepo kigezo cha maendeleo cha Kiislamu.
Habari ID: 3470273    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/26

Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Rais wa Afrika Kusini
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi huru zinapaswa kushirikiana kadiri inavyowezekana licha ya kuweko njama za kila namna za baadhi ya madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470269    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/24

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi hii na Afrika Kusini katika setka mbali mbali.
Habari ID: 3470268    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/24

Rais Rouhani
Ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa dunia ni kuwa na kadiri na wastani katika mambo.
Habari ID: 3470266    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, ili kukabiliana na vita laini vya kambi ya Uistikbari kuna haja ya kuwandaa na kuwalea vijana wanamapinduzi na wenye azma na irada imara.
Habari ID: 3470260    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/20

Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa kubwa la Iran limefelisha njama za madola makubwa na Wazayuni za kueneza chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Iran.
Habari ID: 3470256    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/19

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nguvu na uwezo wa Iran hauko dhidi ya maj iran i na nchi za ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470251    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/17

Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 11 Kimataifa ya Qur’ani ya Jordan maalumu kwa wanawake, ameshika nafasi ya kwanza katika kuhifadhi Qur'ani kikamilifu katika kitengo cha wanawake.
Habari ID: 3470248    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/16