IQNA: Qur’ani Tukufu ina maarifa ya kimataifa yanayopaswa kufafanuliwa, na ujumbe wake unapaswa kuwasilishwa kwa ulimwengu mzima, amesema Hujjatul Islam Mohsen Qara’ati, mwanazuoni wa Kiislamu na mtafsiri wa Qur’ani kutoka Iran.
Habari ID: 3480759 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
Wajue watafiti wa Qur'ani /40
IQNA-Sheikh Abdullah al-Farsy, alikuwa mwanazuoni wa Kizanzibari mwenye asili ya Oman, na aliandika mojawapo ya tafsiri kamili za mwanzo za Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiswahili.
Habari ID: 3478248 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu , Sayansi na Stamaduni UNESCO limeitangaza rasmi tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa siku ya Kiswahili Duniani.
Habari ID: 3474641 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qurani Tukufu kwa lugha za Kiswahili na Kiindonesia ni kati ya vitaby vipya ambavyo vimewasilishwa katika Maoneysho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3474093 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kimezindua Kanali ya YouTube kwa lugha ya Kiswahili kuhusu sira na fikra za Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473973 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/02
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametuma ujumbe kwa lugha 15 akitaka dunia iwaunge mkono Wapalestina wanaokandamizwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473916 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16
TEHRAN (IQNA)-Mmoja kati ya misikiti ya kale zaidi nchini Kenya uko katika hatari ya kuangamia kutokana na ongezeko la mawimbi ya bahari.
Habari ID: 3471068 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/15
Shirika la Mawasiliano na Utamaduni wa Kiislamu Iran (ICRO) limetayarisha tarjama ya Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa lugha 21 duniani.
Habari ID: 2910931 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28
Tovuti maalumu imeundwa kwa ajili ya kusambaza barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa vijana wa Ulaya na Amerika ya Kaskazini.
Habari ID: 2880257 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/22
Tarjama ya Kiswahili ya Nah-ul-Balagha imechapishwa kwa mara ya kwanza kwa hisani ya Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania.
Habari ID: 1424341 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/30