Kikao cha Tehran
TEHRAN (IQNA)-Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi JIrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474482 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/28
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema, kuna udharura wa kukabiliana na uenezaji chuki dhidi ya Uislamu kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3474341 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Madaktari wa Kiislamu Pakistan (PIMA) inapanga kuandaa warsha za kuokoa maisha kwa wananchi katika misikiti kote Pakistan.
Habari ID: 3474339 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Tajikistan, Dushanbe, ambako anashiriki mkutano wa wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) unaofanyika nchini humo leo na kesho.
Habari ID: 3474303 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Pakistan kimeandaa mashindano ya Qur'ani katika mji wa Peshawar kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473859 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran na Pakistan zinasisitiza kuhusu kushirikiana katika kupambana na ugaidi, chuki dhidi ya Uislamu na kudumisha usalama wa mpaka baina ya nchi mbili.
Habari ID: 3473838 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21
TEHRAN (IQNA) –Pakistan imetangaza maelekezo ya kufuatwa na Waislamu misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea corona au COVID-19.
Habari ID: 3473782 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04
TEHRAN (IQNA) Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473474 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20
TEHRAN (IQNA) –Mahakama Kuu ya Lahore, Pakistan imeamuru kuwa ni wajibu kwa taasisi zote za kielimu kuweka mafundisho ya Qur'ani katika mitaala yao kuanzia mwaka 2021.
Habari ID: 3473470 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/19
TEHRAN (IQNA) – Pakistan imetoa wito kwa serikali ya India ilinde haki za jamii za waliowachache hasa Waislamu na ihakikishe kuwa wanapata usalama na uhuru wa kuabudu.
Habari ID: 3473432 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07
TEHRAN (IQNA)- Watu saba wameuawa wakiwa katika darsa ya Qur’ani Tukufu katika hujuma iliyotekelezwa mjini Peshawar, kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3473301 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27
Waziri Mkuu wa Pakistan
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuunda muungano wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3473203 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26
TEHRAN (IQNA) – Qatar imesema katu haitafuata nyao za majirani zake yaani tawala za Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambazo zimeanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473172 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya watu wameandamana kote Pakistan katika siku za hivi karibuni kulaani hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchapisha tena katoni zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW
Habari ID: 3473153 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09
Janga la corona
TEHRAN (IQNA) – Maulamaa mashuhuri nchni Pakistan wametaka serikali iondoe marufuku ya sala za jamaa misikitni nchini humo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472671 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/16
Janga la Corona
TEHRAN (IQNA) – Pakistan imewaweka katika karantini watui 20,000, na inawasaka maelifu yaw engine, walioshiriki katika mjumuiko wa Waislamu ambao ni maarufu kama Ijtimai katika mji wa Lahore mwezi uliopita, huku janga la COVID-19 au corona likiendelea kuwa mbaya nchini humo.
Habari ID: 3472646 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Pakistan imetnagaza kusitishwa kwa muda sala za Ijumaa za jamaa kubwa kote nchini humo ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472628 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/03
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amenukulu aya ya Qur'ani Tukufu kuhusu wakimbizi na akazipongeza Iran na Pakistan kutokana na ukarimu wao katika kuwapa hifadhi wakimbizi wa Afghanistan.
Habari ID: 3472482 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) limedai kuhusika na hujuma dhidi ya msikiti nchini Pakistan ambapo watu wasiopungua 15 wamepoteza maisha.
Habari ID: 3472364 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/11
Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Waziri Mkuu wa Pakistan
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwa muda sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasilisha mpango wa nukta nne wa kumaliza vita nchini Yemen na kuongeza kuwa: "Iwapo vita hivyo vitamalizika ipasavyo, basi jambo hilo linaweza kuwa na taathira chanya katika eneo.
Habari ID: 3472169 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/13