iqna

IQNA

diyanet
Matukio ya Palestina
Chuo kikuu jumuishi cha kimataifa cha mafundisho ya Kiislamu kimepangwa kuanzishwa mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3477119    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/08

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa banda la Kurugenzi ya Masuala ya Kidini ya Uturuki (Diyanet) katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran amesema Diyanet inatekeleza shughuli mbalimbali za Qur'ani Tukufu duniani kote.
Habari ID: 3477027    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Uturuki yanaendelea kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi 49.
Habari ID: 3475868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

TEHRAN (IQNA)-Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imetangaza mpango wa kuongeza idadi ya waliohifadhi Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3474848    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Uturuki wameamua kupunguza makali ya sheria ambazo zinatumika misikitini katika wakati huu wa janga la COVID-19.
Habari ID: 3474553    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Masuala ya Kidini Katika Ofisi ya Rais wa Uturuki (Diyanet) imetangaza kuwa karibu watoto milioni 2 walifaulu katika kozi za kuhifadhi Quran zilizofanyika kote nchini.
Habari ID: 3474226    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25

TEHRAN (IQNA)- Ali Erbas Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini Katika Ofisi ya Rais wa Uturuki (Diyanet) hivi karibuni aliadhini akiwa ameandamana na Qarii mashuhuri wa Uturuki Othman Shaheen.
Habari ID: 3474039    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/24

TEHRAN (IQNA) –Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Dyanet) imepongeza hukumu ya maisha jela iliyotolewa dhidi ya gaidi Muaustralia ambaye alihusika katika mauaji ya Waislamu nchini New Zealand.
Habari ID: 3473112    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/28

TEHRAN (IQNA)-Uturuki imewatunuku Waislamu wa kusini mwa Uhispania nakala 3,000 za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471448    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/30

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu umefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471252    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

TEHRAN (IQNA)-Uturuki imeanza kusambaza nakala 21,500 za Qur'ani katika nchi 15 barani Afrika.
Habari ID: 3471233    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/28